Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,036
- 71,268
Mmhhhh mie nakuonaga tuuu ila nikawa sikubali kivile .Wenda nilikua sikujui !!.Aksante kwa kunielewa Leo.
Nipo hivyo basi tu hujanisoma kiundani
Mmhhhh mie nakuonaga tuuu ila nikawa sikubali kivile .Wenda nilikua sikujui !!.Aksante kwa kunielewa Leo.
Nipo hivyo basi tu hujanisoma kiundani
Sasa unaonaje kaka Putini mkayajenga Pm? Na Mama Sabrina
Maana naona tayari mnaanza kuelekeana kila mmoja anaanza kujua strength na weaknesse za mwenzie na mnazirekebisha pia utapata na zawadi ya kuitwa Baba Sabrina Bure
Sio kwamba nakataa au nazipinga ,,ila nawapinga watumiaje wake ambao wanaingia kwalengo ilo.. Mimi naaimin hata mtu asipoweka matangazo bado utapendwa tuuu ....sasa unakuta mtu ndo anajipigia debe weeeeeeee ..waivi ndo napenda sana.Leo nimekushikaaaa
Wewe si unapondaga online relationship au hapa wapiii
( Leo leoo))))
NimekupataSio kwamba nakataa au nazipinga ,,ila nawapinga watumiaje wake ambao wanaingia kwalengo ilo.. Mimi naaimin hata mtu asipoweka matangazo bado utapendwa tuuu ....sasa unakuta mtu ndo anajipigia debe weeeeeeee ..waivi ndo napenda sana.
Mambo mazuri hayataki haraka..
Eti kama Mimi Leo hii niseme ,,Najiunga JF ili nipate mwanamke sabab wapo walopata ,,,zitakua hazinitoshi...kosea kote lkn usikoseee mahusiano.
Kabisaaa kwanza napenda mtoto napenda sana watoto ,huwa nikiwaona najisikia raha ndo ktk PC ,,ndan ,ktk simu picha zawatoto wadogo ndizo zimejaaa kushinda hata zangu mim. So Ma Sabrina ,, hongera sana kua nasabrina .i hope nikatoto mazuri maana naww unautumbo mzuri.Sasa unaonaje kaka Putini mkayajenga Pm? Na Mama Sabrina
Maana naona tayari mnaanza kuelekeana kila mmoja anaanza kujua strength na weaknesse za mwenzie na mnazirekebisha pia utapata na zawadi ya kuitwa Baba Sabrina Bure
Aahhh vema pia jus show up urself.Utanijua polepole
Vzuri km umenielewa.Nimekupata
Mie mbona Niko gud sana ...basi tu KUNA mahali unaona kama nikero alafu imekithiri ,sema huwa sijui km nawaudhi .Leo Putin kachange Nice Boy
Be like this Putin
Acha Utata
nmelia nakuliaaaaaaa ..Mimi sio mtata jaman ,,mimi gud boy ...... Ma Sabrina mwanamme hawi judged na MANENO yake bali his DEEDS .Hahaa na putin alivyo mtata vile
Karibu , Siku moja , nikuone ukiwa na Sabrina alafu mmevaa nguo za kufanana.Asante Putin
Hahahahahaha nami nashangaaAnajikosesha JIKO na utata wake
But Leo kama sio yeye au mwingine huyu
Au huwezi jua huwa kuna watu wanamvurugaa huko anamaliziaaa
Ahahhaahahaa,,usilie buananmelia nakuliaaaaaaa ..Mimi sio mtata jaman ,,mimi gud boy ...... Ma Sabrina mwanamme hawi judged na MANENO yake bali his DEEDS .
Shukran piaa,,sawaKaribu , Siku moja , nikuone ukiwa na Sabrina alafu mmevaa nguo za kufanana.
Shukran piaa,,sawaKaribu , Siku moja , nikuone ukiwa na Sabrina alafu mmevaa nguo za kufanana.