Sijui tunaenda wapi?

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Sep 3, 2010
7,589
4,423
1341_globalwarming.jpg



Miaka 50 ijayo hili vazi litakuwaje?
 
Kwa mtililiko huu ifikapo 2020 hazita tengenezwa tena, itakuwa kupunga upepo tu- kila kitu kitakuwa open wazi menyele menyele!
 
binadamu wa leo anaangalia zaidi vitu kama ecodesign/environmental impacts, gharama za materials... endeleza
 
1341_globalwarming.jpg



Miaka 50 ijayo hili vazi litakuwaje?

mimi mwenyewe najiuliza hizi style za chupi za cku hizi, zamani chumpi ilikuwa inafunika ****, kuliona **** lazima ufungue chupi kwanza, lakini sasa lo wenyewe wanaita fungua **** oune chupi, yaani vise versa
 
wakati mwingine huwaza sana jinsi ambavyo magharibi inayvotupeleka puta. Walitukuta hatuna nguo wakatufundisha kuvaa, kushona na hata kutengeneza nguo zenyewe. Sasa wanaturudisha tena kutembea uchi, na sisi tumo tu! kweli hatuna msimamo, lol!!
 
Yaaaah wengi wako wazi siku hizi, eti chupi ni usumbufu, mashine inapata upepo free
 
mmmhhhhh bwana mi nauhakika kuna ya 2010 ....
lakini nikiwaza 2015.. naogopa mawazo yangu lol



Kweli Afrodenzi ya 2010 ipo si unakumbuka niliahidi kukutafutia,lakini bado sijaipata.Ila huko 2015 tena sijui kutakuwaje?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom