dropingcoco
Senior Member
- Jun 21, 2008
- 124
- 11
Maisha yamekuwa magumu.
Bei ya mafuta imepanda
Gesi bei ipo juu
Maji ya mgao
Umeme ndio usiseme, kila kitu kimepanda bei kwa ajili ya uzalishaji kuwa mdogo.
Nikisema ninunue jenereta bado nakutana na mafuta bei ndio hiyo.
Nitashawishika vipi kuwachagua tena kwa kipindi kijacho.
Kwa nini sisi wananchi wa kawaida tuteseke namna hii ndani ya nchi yetu, shauri ya viongozi wachache wenye kujali maslahi yao?
WATANZANIA WENZANGU, TUSEME IMETOSHA
Bei ya mafuta imepanda
Gesi bei ipo juu
Maji ya mgao
Umeme ndio usiseme, kila kitu kimepanda bei kwa ajili ya uzalishaji kuwa mdogo.
Nikisema ninunue jenereta bado nakutana na mafuta bei ndio hiyo.
Nitashawishika vipi kuwachagua tena kwa kipindi kijacho.
Kwa nini sisi wananchi wa kawaida tuteseke namna hii ndani ya nchi yetu, shauri ya viongozi wachache wenye kujali maslahi yao?
WATANZANIA WENZANGU, TUSEME IMETOSHA