Sijui nimgeukie nani. Napitia shida kubwa, natamani hata kufa

Kutokana na trend ya hizi thread za watu kukata tamaa, people feelings of powerlessness with their circumstances and other petty reasons to loss of coping controls with life; ni wakati wa ustawi wa jamii kuanzisha kitengo cha counselling for individuals and group counselling.

Au wajasariamali waanzishe NGO zenye kutoa group counselling na viji pamphlete venye kutoa maelezo jinsi ya ku cope with different life adversities hiki kitu kinaonekana ni kikubwa as a social problem isipokuwa watu awajui pakupatia msaada.

Binafsi naamini kutatua tatizo la afya ni kubadili mawaziri wote na katibu mkuu they just don’t have strategic skills to tackle health issues.
Tanzania ina watu wengi sana ambao wakieleza masaibu waliyopambana nayo maishani huwezi kuamini, hasa wanawake. Kwa kifupi nchi yetu inatekeleza kwa vitendo ule msemo wa dunia ni uwanja wa fujo. Lakini vilevile tahadhari. Kuna matapeli wengi sana wanaitumia JF kwa mawindo yao. Na hakuna nchi yenye watu rahisi kupiga kwa utapeli kama Tanzania. Kwa mfano hapa asilimia kubwa ya wachangiaji wameshaamini kuwa mwanzisha thread ni binti mdogo, na wanaume wengine naona wameshaona kuna fursa. Siyo kama nakatisha watu tamaa wasimsikilize lakini wawe makini sana kwani siku hizi kuna mpaka watu wasiojulikana wanatumia ghilba kama hizi kuwanasa members wanaoona ni wakorofi.
 
Huyu Mtu Anatatizo La Saikoloji Inayochangiwa Na Upweke Wa Ushauri,faraja Na Kupata Rafiki Mwema Wa Kubadilishana Naye Mawazo Akimpata Mtu Wa Aina Hii Atakuwa Na Amani.Mliyokaribu Naye Msaidieni Sisi Wengine Tupo Mbali Na Mjini Dar,
Usisahau: anaweza pia kuwa ''mtu asiyejulikana'' yuko mawindoni au tapeli yuko mawindoni au pia mtoto mkorofi kwa wazazi wake. Siku hizi mtandao umebeba kila aina ya watu. Umakini ni muhimu.
 
Mimi ni msichana mdogo tu tena sana ninapitia shida sana sana sana sana jamani jamani natamani nife tu jamani ninaishi katika familia ya mateso sana jamani sio mwandishi mzuri lakini ngoja nijaribu.

Nimezaliwa katika familia nzuri kiasi nimesoma shule nzuri tu. Primary nimesoma St. Mary’s Tabata, secondary nimesoma Arusha katika kusoma kwangu primary jamani nimepitia shida huyu mama yangu hanipendi hata kidogo nilipokuwa primary nimepitia shida sana kila siku asubuhi huyu mama alikuwa hakubali nipewe hela za matumizi kila siku nilikuwa naenda na vimiambili haina shida maana tulikuwa tunaenda na school bus.

Kuna siku nilikuwa nimetoka home sijui nilifanya nini nashangaa mwalimu kaita parade nashangaa naitwa mbele ya wanafunzi naanza kuaibishwa mara sijui nyumbani kwenu sijui nini sikuelewa hata shida ilikuwa nini, nashangaa napigwa mara nanyoshewa kidole yaani sikuelewa akanimbia kamuulize mama yako sawa.

Nikanyamaza eeh!

Sijui nielezeeje ila natamani mtu nimwambie ajue nina shida gani jamani naomba msaada mimi nahisi sitaweza kuendelea sina mtu wa kunisikiliza naombeni msaada jamani nahitaji mtu anisaidie.
Shule zinafunguliwa tarehe 29/06/2020.
Vipi umepangiwa shule gani ?
 
Kweli mtoto saana tu
Ungegusia basi walau kwa uchache tu kipi kinakupa shida mpaka unatamani kufa mdogo wangu.

Ili wanamzengo tujue pakuanzia huenda ukawa unahitaji msaada waharaka kabla hujachukua maamuzi juu yahicho unachokitamani
 
Mimi ni msichana mdogo tu tena sana ninapitia shida sana sana sana sana jamani jamani natamani nife tu jamani ninaishi katika familia ya mateso sana jamani sio mwandishi mzuri lakini ngoja nijaribu.

Nimezaliwa katika familia nzuri kiasi nimesoma shule nzuri tu. Primary nimesoma St. Mary’s Tabata, secondary nimesoma Arusha katika kusoma kwangu primary jamani nimepitia shida huyu mama yangu hanipendi hata kidogo nilipokuwa primary nimepitia shida sana kila siku asubuhi huyu mama alikuwa hakubali nipewe hela za matumizi kila siku nilikuwa naenda na vimiambili haina shida maana tulikuwa tunaenda na school bus.

Kuna siku nilikuwa nimetoka home sijui nilifanya nini nashangaa mwalimu kaita parade nashangaa naitwa mbele ya wanafunzi naanza kuaibishwa mara sijui nyumbani kwenu sijui nini sikuelewa hata shida ilikuwa nini, nashangaa napigwa mara nanyoshewa kidole yaani sikuelewa akanimbia kamuulize mama yako sawa.

Nikanyamaza eeh!

Sijui nielezeeje ila natamani mtu nimwambie ajue nina shida gani jamani naomba msaada mimi nahisi sitaweza kuendelea sina mtu wa kunisikiliza naombeni msaada jamani nahitaji mtu anisaidie.
Njoo PM tushauriane mawili matatu
 
Mimi ni msichana mdogo tu tena sana ninapitia shida sana sana sana sana jamani jamani natamani nife tu jamani ninaishi katika familia ya mateso sana jamani sio mwandishi mzuri lakini ngoja nijaribu.

Nimezaliwa katika familia nzuri kiasi nimesoma shule nzuri tu. Primary nimesoma St. Mary’s Tabata, secondary nimesoma Arusha katika kusoma kwangu primary jamani nimepitia shida huyu mama yangu hanipendi hata kidogo nilipokuwa primary nimepitia shida sana kila siku asubuhi huyu mama alikuwa hakubali nipewe hela za matumizi kila siku nilikuwa naenda na vimiambili haina shida maana tulikuwa tunaenda na school bus.

Kuna siku nilikuwa nimetoka home sijui nilifanya nini nashangaa mwalimu kaita parade nashangaa naitwa mbele ya wanafunzi naanza kuaibishwa mara sijui nyumbani kwenu sijui nini sikuelewa hata shida ilikuwa nini, nashangaa napigwa mara nanyoshewa kidole yaani sikuelewa akanimbia kamuulize mama yako sawa.

Nikanyamaza eeh!

Sijui nielezeeje ila natamani mtu nimwambie ajue nina shida gani jamani naomba msaada mimi nahisi sitaweza kuendelea sina mtu wa kunisikiliza naombeni msaada jamani nahitaji mtu anisaidie.

Haya wanaume tumetongozwa live live hii hapa zameni Pm basi
 
Mimi ni msichana mdogo tu tena sana ninapitia shida sana sana sana sana jamani jamani natamani nife tu jamani ninaishi katika familia ya mateso sana jamani sio mwandishi mzuri lakini ngoja nijaribu.

Nimezaliwa katika familia nzuri kiasi nimesoma shule nzuri tu. Primary nimesoma St. Mary’s Tabata, secondary nimesoma Arusha katika kusoma kwangu primary jamani nimepitia shida huyu mama yangu hanipendi hata kidogo nilipokuwa primary nimepitia shida sana kila siku asubuhi huyu mama alikuwa hakubali nipewe hela za matumizi kila siku nilikuwa naenda na vimiambili haina shida maana tulikuwa tunaenda na school bus.

Kuna siku nilikuwa nimetoka home sijui nilifanya nini nashangaa mwalimu kaita parade nashangaa naitwa mbele ya wanafunzi naanza kuaibishwa mara sijui nyumbani kwenu sijui nini sikuelewa hata shida ilikuwa nini, nashangaa napigwa mara nanyoshewa kidole yaani sikuelewa akanimbia kamuulize mama yako sawa.

Nikanyamaza eeh!

Sijui nielezeeje ila natamani mtu nimwambie ajue nina shida gani jamani naomba msaada mimi nahisi sitaweza kuendelea sina mtu wa kunisikiliza naombeni msaada jamani nahitaji mtu anisaidie.

Pole sana Binti!! Challenges katika maisha ni jambo la kutarajia na ni kawaida kupata changamoto kama binadamu!! Tatizo ni je hizo changomoto unazichukuliaje? (Perception), unazikubali au unazikataa (compliance or Denial) na unazikabili vp? ( Problem solving and way forward)
Kama bado hujajiua na usifikirie kabisa kujiua!! Njoo DM nitakusaidia
Maisha ni matamu sana kuliko kifo haijalishi unapitia changamoto gani?
Karibu sana.
 
Mimi ni msichana mdogo tu tena sana ninapitia shida sana sana sana sana jamani jamani natamani nife tu jamani ninaishi katika familia ya mateso sana jamani sio mwandishi mzuri lakini ngoja nijaribu.

Nimezaliwa katika familia nzuri kiasi nimesoma shule nzuri tu. Primary nimesoma St. Mary’s Tabata, secondary nimesoma Arusha katika kusoma kwangu primary jamani nimepitia shida huyu mama yangu hanipendi hata kidogo nilipokuwa primary nimepitia shida sana kila siku asubuhi huyu mama alikuwa hakubali nipewe hela za matumizi kila siku nilikuwa naenda na vimiambili haina shida maana tulikuwa tunaenda na school bus.

Kuna siku nilikuwa nimetoka home sijui nilifanya nini nashangaa mwalimu kaita parade nashangaa naitwa mbele ya wanafunzi naanza kuaibishwa mara sijui nyumbani kwenu sijui nini sikuelewa hata shida ilikuwa nini, nashangaa napigwa mara nanyoshewa kidole yaani sikuelewa akanimbia kamuulize mama yako sawa.

Nikanyamaza eeh!

Sijui nielezeeje ila natamani mtu nimwambie ajue nina shida gani jamani naomba msaada mimi nahisi sitaweza kuendelea sina mtu wa kunisikiliza naombeni msaada jamani nahitaji mtu anisaidie.
Pole sana Binti nina swali moja je ni Mama yako mzazi? Jibu lolote lile, nakushauri usikate tamaa pambania ndoto yako hayo majaribu unpitia.
Na utashinda amini nakuambia, kuna wengi nawafaham walipitia kama hayo unayopitia ila sasa wamesimama kwa Heshima na watesi wao wanatamani kuficha sura zao.
 
Wenzako hawapewi hata 100 na wanatembea klmt Kama 7 hiv kwenda shule, kwel kupewa 200 ndo iwe sababu ya kutaka kujiuwa?
Inawezekana hasira zake zote hizo sababu ni bmkubwa wake hataki awe na boyfriend, na hapo binti ndio kashadanganywa kadanganyika penzi limemkolea kwelikweli mpaka amekua kipofu, mama akimkanya kuhusu wanaume anahisi mama yake mzazi anamuonea wivu, hampendi, anamnyanyasa.
Mapenzi katika kipindi cha balehe hua yanawagharimu sana dada zetu.
 
Mimi ni msichana mdogo tu tena sana ninapitia shida sana sana sana sana jamani jamani natamani nife tu jamani ninaishi katika familia ya mateso sana jamani sio mwandishi mzuri lakini ngoja nijaribu.

Nimezaliwa katika familia nzuri kiasi nimesoma shule nzuri tu. Primary nimesoma St. Mary’s Tabata, secondary nimesoma Arusha katika kusoma kwangu primary jamani nimepitia shida huyu mama yangu hanipendi hata kidogo nilipokuwa primary nimepitia shida sana kila siku asubuhi huyu mama alikuwa hakubali nipewe hela za matumizi kila siku nilikuwa naenda na vimiambili haina shida maana tulikuwa tunaenda na school bus.

Kuna siku nilikuwa nimetoka home sijui nilifanya nini nashangaa mwalimu kaita parade nashangaa naitwa mbele ya wanafunzi naanza kuaibishwa mara sijui nyumbani kwenu sijui nini sikuelewa hata shida ilikuwa nini, nashangaa napigwa mara nanyoshewa kidole yaani sikuelewa akanimbia kamuulize mama yako sawa.

Nikanyamaza eeh!

Sijui nielezeeje ila natamani mtu nimwambie ajue nina shida gani jamani naomba msaada mimi nahisi sitaweza kuendelea sina mtu wa kunisikiliza naombeni msaada jamani nahitaji mtu anisaidie.
You are at the right place,come pm
 
Mimi napata tashwishwi na wewe!

Kwanza binti anayejielewa na mtulivu kwa umri huo Mdogo ulieleza hawezi kuwa simu

Hususa simu janja haiwezekani

Zaidi Eti awe amejiunga JF

Yani mimi naona kama ni matatizo utakuwa chanzo ni wewe na siyo Mama yako

Inavyoonekana hujatulia !

Wewe unaenda Shule na basi la Shule hushukuru Mungu bado unalaumu wazi?!

Halafu Shule zinazoenda na basi wanakula shuleni, sasa utake nini?

Dunia hii ina mengi kama ni kweli muombe Mama yako msamaha hata kwa kutumia mtu au watu wenye busara itakusaidia sana kuliko kutafuta huruma za watu humu!

Badili njia zako na tabia zako mbaya.

Jifunze kuridhika na ulichonacho, Usiwe mtu wa kunia makubwa yaliyo juu ya uwezo wako.

Binti wa sekondari una simu janja?

Kakupa nani mzazi wako?

Au una mabwana?

Off course kuna wazazi wanafanyaga makosa kuwapa watoto wao vitu ambavyo badae wanajuta maana vinaharibu tabia za watoto kisha maumivu hurudi kwa wazazi wenyewe na majuto.

Imeandikwa: “mjue sana Mungu upate amani, na ndipo mema yatakujia”.


Tafakari sana
 
unhitaji ushauri soft ama mgumu? kama ni mgumu njoo huku tukushauri kama ni vitu Soft Soft potezea, ila kama upo Serious mm ndio naanza Safari naelekea Bujumbura kisha navuka Uvira twende ukaone na ya huku, pengine hauna matatizo kama unavyofikiria, twende ukaone matatizo halisi ama kama huko ni mbali basi uwe unafanya matembezi jioni japo kwa miguu naamini hapo hapo ktk mji uliopo unaweza ona ninachoomaanisha, kumbuka kila tatizo unalikabiliana nalo katika maisha kuna namna ya kukabiliana nalo labda akili yako tu inakuwa imefika mwisho wa kufikiri, washirikishe wengine lakini mwisho wa siku muamuzi wa maisha yako ni wewe mwenyewe, kuleta mada yako hapa inawezekana ikawa ni moja ya njia ya kutatua tatizo lako ama ukalipalilia zaidi yaan huku ukaondoka na tatizo jingine jipya. tuliza akili, huo ni mtihani mmojawapo tu, fanya umalizane nao na ujiandae na mtihani mwingine maana ndio kuishi na ndio maisha yenyewe
 
Binti, shida yako ni ndogo. Nenda polisi kuna wadada wenzako pale watakusaidia sana. Usijaribu Ku pm mtu usiyemjua! Huo ni ushauri.
 
1.Hapa kwa wenye kipaji cha kusoma vizuri maandishi yaliyojaa hisia (furaha au huzuni) unaelewa huyu muanzisha thread yupo kwenye hali gani.

2.Maswali ameulizwa mengi na mengi hajayajibu kuna nini?

3. Anaogopa kusema yote kwa sababh atajulikana ni yeye. Kitendo cha kuainiaha shule alizosoma na mkoa pia je sio sehemu ya kujitabanaisha ? Hapo hapo, scenario ya kuabishwa mbele ya shule kama St. Mary's ? Najiuliza mengi kuhusu hili.

Ikiwa ni kweli angwfunguka hapa hapa ila asieleze utambulisho (jina la mkoa, shule, majina ya wahusika n.k)
Nahisi kitu kisichokua serious saana.

Ningependezwa na mlioenda PM. Mtulete mrejesho walau mseme kama ni serious apate ushauri. Ameulizwa maswali mengi watu wanashindwa kushaur sababu ameficha mengi.

#akili itumike zaidi.
 
Mimi ni msichana mdogo tu tena sana ninapitia shida sana sana sana sana jamani jamani natamani nife tu jamani ninaishi katika familia ya mateso sana jamani sio mwandishi mzuri lakini ngoja nijaribu.

Nimezaliwa katika familia nzuri kiasi nimesoma shule nzuri tu. Primary nimesoma St. Mary’s Tabata, secondary nimesoma Arusha katika kusoma kwangu primary jamani nimepitia shida huyu mama yangu hanipendi hata kidogo nilipokuwa primary nimepitia shida sana kila siku asubuhi huyu mama alikuwa hakubali nipewe hela za matumizi kila siku nilikuwa naenda na vimiambili haina shida maana tulikuwa tunaenda na school bus.

Kuna siku nilikuwa nimetoka home sijui nilifanya nini nashangaa mwalimu kaita parade nashangaa naitwa mbele ya wanafunzi naanza kuaibishwa mara sijui nyumbani kwenu sijui nini sikuelewa hata shida ilikuwa nini, nashangaa napigwa mara nanyoshewa kidole yaani sikuelewa akanimbia kamuulize mama yako sawa.

Nikanyamaza eeh!

Sijui nielezeeje ila natamani mtu nimwambie ajue nina shida gani jamani naomba msaada mimi nahisi sitaweza kuendelea sina mtu wa kunisikiliza naombeni msaada jamani nahitaji mtu anisaidie.
Pole sana usikate tamaa sababu ya mateso na chuki za binadamu kila kitu kina mwanzo na mwisho ipo siku furaha yako itarudi na kusahau shida na mateso uliyopitia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom