Translator
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 286
- 297
Kwenye Kiswahili hakuna neno "kupelekea".
Hili ni moja ya maneno yaliyopata mashiko siku hizi
lakini ukweli ni kuwa hiyo ni "broken language".
Mfano:
1. Tatizo hili limepelekea kila mtu kujihoji.
2. Kuchekelewa kumepelekea tumkose.
3. Ajali imepelekea vifo vya watu wawili.
............
Kimsingi, neno sahihi ni "sababisha".
1. Tatizo hili limesababisha kila mtu kujihoji.
2. Kuchekelewa kumesababisha tumkose.
3. Ajali imesababisha vifo vya watu wawili.
Hili ni moja ya maneno yaliyopata mashiko siku hizi
lakini ukweli ni kuwa hiyo ni "broken language".
Mfano:
1. Tatizo hili limepelekea kila mtu kujihoji.
2. Kuchekelewa kumepelekea tumkose.
3. Ajali imepelekea vifo vya watu wawili.
............
Kimsingi, neno sahihi ni "sababisha".
1. Tatizo hili limesababisha kila mtu kujihoji.
2. Kuchekelewa kumesababisha tumkose.
3. Ajali imesababisha vifo vya watu wawili.