hata tukae mika elfu kumi hatuwezi kupata ccm madhubuti. Ccm ina laana ya maisha.Mimi nang'atuka lakini naendelea kuamini kwamba bila ccm madhubuti nchi hii itayumba.
Ngoja niichukue kabisa kama kumbu kumbu kwa wanangu.sijawahi ona chama katili duniani kama ccm. Ni bora anae kuua kuliko anae kutesa