Ilianza kama masihara, richmond, mara dowans, wakaibuka wanyamapori waitwao meremeta, mara tangold, wakaja deep green resources. Sasa hayo yote yameibuka 2008. Hatujui huko nyuma kabla ya 2008 tuliibiwa kiasi gani!! Namuomba magufuli achukue fomu ya urais 2015!!!