swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,479
- 3,613
kuwa tu Waziri mkuu ni kupoteza Sifa za Kuwa rais wa Jamhuri ya muungano wa TZ ndani ya CCM, usiniulize kuhusu PM Nyerere. Hivyo mtoe kabisa Majaliwa kwenye fikra zako za Yeye kuwa Rais.Rais ajaye ni
Kati ya Hawa hapa
1.bashiru Ally
2.prof.kabudi
3.kassimu majaliwa