Alshamshudyn
New Member
- May 16, 2008
- 3
- 0
Habari zenu wajuzi
Nimekuwa nikisikia kuna mfumo wa kuchat na marafiki kuitii hii tovuti ya ukweli kabisa jamiiforum.com lakini kila nikiuliza naambiwa mpaka laptop yako iwe na Java thanx god nimeweza kuidownload Java sema kila nikilog in kauwa sioni seheme ambayo inaweza kunidirect kwenye chatroom Je nafanyaje?
Nayefahamu naomba anisaidie tafadhali.
Nimekuwa nikisikia kuna mfumo wa kuchat na marafiki kuitii hii tovuti ya ukweli kabisa jamiiforum.com lakini kila nikiuliza naambiwa mpaka laptop yako iwe na Java thanx god nimeweza kuidownload Java sema kila nikilog in kauwa sioni seheme ambayo inaweza kunidirect kwenye chatroom Je nafanyaje?
Nayefahamu naomba anisaidie tafadhali.