Sijui kuingia kwenye chatroom ya Jamii nisaidieni

Status
Not open for further replies.

Alshamshudyn

New Member
May 16, 2008
3
0
Habari zenu wajuzi
Nimekuwa nikisikia kuna mfumo wa kuchat na marafiki kuitii hii tovuti ya ukweli kabisa jamiiforum.com lakini kila nikiuliza naambiwa mpaka laptop yako iwe na Java thanx god nimeweza kuidownload Java sema kila nikilog in kauwa sioni seheme ambayo inaweza kunidirect kwenye chatroom Je nafanyaje?

Nayefahamu naomba anisaidie tafadhali.
 
Habari zenu wajuzi
Nimekuwa nikisikia kuna mfumo wa kuchat na marafiki kuitii hii tovuti ya ukweli kabisa jamiiforum.com lakini kila nikiuliza naambiwa mpaka laptop yako iwe na Java thanx god nimeweza kuidownload Java sema kila nikilog in kauwa sioni seheme ambayo inaweza kunidirect kwenye chatroom Je nafanyaje?

Nayefahamu naomba anisaidie tafadhali.
Karibu mkubwa,

Kwanza pole kwa kuhangaika.

Nimeiona hii nikajisikia kweli nimewakosea wengi kwa kutowaarifu yepi ya kufanya endapo wanahitaji kuingia kwenye chat.

Kwanza:

JamiiForums haina chat, labda ikiwekwa siku za usoni.

Pili:

JamboTanzania.net ni IRC Server (website ambayo Shy kakupa hapo juu) hivyo ukiitembelea wewe normal user utakuwa redirected kwenda JamboNetwork.com. Mimi kama Global Admin wa hiyo server nilitakiwa nikujibu haraka iwezekanavyo kama ungetuma swali via email kwenda kwa info@jambonetwork.com lakini kwakuwa ni huku imechukua muda kujua kuna mtu mwenye uhitaji huo.

Kama unatumia web chat, basi tulichoweka hapo ni Java Chat, hii ni secured kuliko flash chat kwakuwa inakuhakikishia chat yako kuwa private kiasi hata moderators au channel operators HAWAWEZI kuona nini unaongea katika private na mwenzako. Basi kama wataka kutumia Java chat tumia hii link:

http://www.jambonetwork.com/jn/chat-room/

Na hapo nakushauri tumia Internet Explorer kwenda hiyo link ambapo utatakiwa kuweka nickname yako (si lazima jina la kweli) na utajikuta unakuwa connected na wenzako wengi ambao utawakuta online huko. Hapo pia utakuwa na nafasi ya kusikiliza Jambo Radio pamoja na Radio Maria (Online Radios) ukiwa unaendeolea na chatting. Chat ina masharti yake ambayo utatakiwa kuyazingatia.

Tatu:
Ukitaka kutumia chat scripts, basi nakushauri tumia mIRC kuingia kwenye chat yetu kwakuwa tunatumia IRC Server. Connection port weka 6667 au 6668. Endapo hizi zitakuwa blocked na system yenu basi tufahamishe tunaweza kutengeneza nyingi kadiri iwezekanavyo.

IRC chats nyingi huwa blocked na antivirus hasa McAfee. Unaweza ku-configure McAfee iweze kuruhusu connection kuingia kwenye chat. Utapata errors endapo unatumia McAfee kama antivirus na ikawa enabled.

Nakuhakikishia kuwa server yetu iko salama na huwa inakuwa na updates kadhaa kwa mwezi na huwa tunahakikisha kunakuwa na mtu wa kusadia muda wote.

Kwa maswali zaidi wasiliana nami via sms au email.

Mac
 
MAC asante sana kwa maelezo yako kwani hata me nilikuwa na shida hiyo hiyo. mwanzo nilikuwa naingia vizuri tu kwenye hiyo chat lakini toka mwezi wa tano ndo nimeanza kushidwa kuingia huko. leo baada ya kusoma maelezo yako nimejaribu tena ku log in lakini nimepata msg hii Unable to connect : java.net.ConnectException : Connection refused: connect s
 
MAC asante sana kwa maelezo yako kwani hata me nilikuwa na shida hiyo hiyo. mwanzo nilikuwa naingia vizuri tu kwenye hiyo chat lakini toka mwezi wa tano ndo nimeanza kushidwa kuingia huko. leo baada ya kusoma maelezo yako nimejaribu tena ku log in lakini nimepata msg hii Unable to connect : java.net.ConnectException : Connection refused: connect s

Ok,

When you try to connect you get:-
[22:12] Connecting...
[22:12] Unable to connect : java.net.ConnectException : Connection refused
or maybe:
Unable to connect : java.net.NoRouteToHostException :


This particular message is telling you that the IRCD is refusing your connection, or else you are unable to connect to it.

A local, or network firewall is preventing you from using the selected port.

It could be that the JVM is trying to access the Internet via the SOCKS server settings and not the HTTP.

To fix the problem try un-ticking the "use browser settings" check box in the Java plugin proxies tab and just add the HTTP IP and PORT of your proxy server that goes out onto the Internet.

Your internet cache is serving files from an older version of the applet.

Clear out your temporary internet files, and cookies.

Try to DISABLE your antivirus for a moment and see any developments.

Keep me posted
 
Karibu mkubwa,

Kwanza pole kwa kuhangaika.

Nimeiona hii nikajisikia kweli nimewakosea wengi kwa kutowaarifu yepi ya kufanya endapo wanahitaji kuingia kwenye chat.

Kwanza:

JamiiForums haina chat, labda ikiwekwa siku za usoni.

Pili:

JamboTanzania.net ni IRC Server (website ambayo Shy kakupa hapo juu) hivyo ukiitembelea wewe normal user utakuwa redirected kwenda JamboNetwork.com. Mimi kama Global Admin wa hiyo server nilitakiwa nikujibu haraka iwezekanavyo kama ungetuma swali via email kwenda kwa info@jambonetwork.com lakini kwakuwa ni huku imechukua muda kujua kuna mtu mwenye uhitaji huo.

Kama unatumia web chat, basi tulichoweka hapo ni Java Chat, hii ni secured kuliko flash chat kwakuwa inakuhakikishia chat yako kuwa private kiasi hata moderators au channel operators HAWAWEZI kuona nini unaongea katika private na mwenzako. Basi kama wataka kutumia Java chat tumia hii link:

http://www.jambonetwork.com/jn/chat-room/

Na hapo nakushauri tumia Internet Explorer kwenda hiyo link ambapo utatakiwa kuweka nickname yako (si lazima jina la kweli) na utajikuta unakuwa connected na wenzako wengi ambao utawakuta online huko. Hapo pia utakuwa na nafasi ya kusikiliza Jambo Radio pamoja na Radio Maria (Online Radios) ukiwa unaendeolea na chatting. Chat ina masharti yake ambayo utatakiwa kuyazingatia.

Tatu:
Ukitaka kutumia chat scripts, basi nakushauri tumia mIRC kuingia kwenye chat yetu kwakuwa tunatumia IRC Server. Connection port weka 6667 au 6668. Endapo hizi zitakuwa blocked na system yenu basi tufahamishe tunaweza kutengeneza nyingi kadiri iwezekanavyo.

IRC chats nyingi huwa blocked na antivirus hasa McAfee. Unaweza ku-configure McAfee iweze kuruhusu connection kuingia kwenye chat. Utapata errors endapo unatumia McAfee kama antivirus na ikawa enabled.

Nakuhakikishia kuwa server yetu iko salama na huwa inakuwa na updates kadhaa kwa mwezi na huwa tunahakikisha kunakuwa na mtu wa kusadia muda wote.

Kwa maswali zaidi wasiliana nami via sms au email.

Mac
MNISAMEHE bandugu........! nia -ALEJI na any number with "TRIPLE SIX"
 
Sawa Nnategemea Na Jamii Forums Tutakuwa Na Chat Yetu Siku Za Usoni Maana Nnnaamini Safari Bado Mbichi
 
wakuu wa JF niaje popote mlipo? nimerudi baada ya kalikizo ka muda mrefu bila ya kupatikana katika discussion yetu ya JF.
 
jamani,usilolijua ni kama usiku wa kiza,labda wataalam mtanisaidia,nimesikia kwamba mwenye blog ya utamu,anatafutwa,na wala haijulikani yuko nchi gani.sasa kama hackers wanaweza kuingilia classified information za united states govt,inakuwa vipi suala dogo la kum flush out huyu utamu linakuwa taabu?what exactly inayofanya hii shuguli iwe ngumu,yaani hata kui-disable hii blog imekuwa ngumu.frankly speaking,i take technology for granted,but it really leaves me wondering
 
Son of alaska

wengi wanatafutwa sio yeye tu hata wanaotoa siri za serikali na watu wengine katika mitandao mengine wanatafutwa sema kila mtandao una sheria na kanuni zake yule mwenye blogu amesajili blogu yake kwa makubaliano maalumu

mfano wamkamate halafu baadaye huyo jamaa aje kuishitaki kampuni aliyosajili blogu yake kwa kutoa siri zake unafikiri patakalika nani anapenda hivyo je si huyo msajili atapoteza wateja wengi zaidi ?

Hiyo ni siri za kibiashara za mtandao
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom