Sijui ku-negotiate au nilichokisomea ndio hakina dili??

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Aug 4, 2014
1,637
458
Wakuu, naumwa kichwa.

Naumwa kichwa na huu mwezi sipati usingizi kwa sababu hii mada inajizungusha kichwani mwangu bila hata hiari yangu ya kuamua cha kufikiria.

Naumwa kichwa pale ninapoona mfanyakazi mwingine mwenye fani kama yangu na pengine namzidi creativity analipwa 1.2 mil - 2 mil wakati mimi take-home ni laki 3 kwa mwezi.

Nimesoma Graphic design na kampuni nyingi nilizopeleka maombi au kuwahi kuajiriwa hakuna iliyokubali kunipa beyond laki 5 wakati ninawafahamu watanzania (wachache), wakenya na wahindi wanoochukua 1M na kuendelea.

Wao wenyewe wakitizama Portfolio yangu wananywea...hata CV yangu ni very modern, very creative and eye-catching on the first look kwa content na design yake. Nikiwa naiprint stationery muhudumu anasema waoooo!

Hakuna ambacho sijakifanyia research na kukiapply in terms of application letter, CV, certificates delivering, interview sessions nk.

Nimekuwa nikijitahidi kuseam "interview hii nikiulizwa salary expectation niseme laki 8 au 1M", lakini nikifanya research kwa madesigner waliowahi kupita pale hakuna aliyegonga zaidi ya laki 5...wengi ni laki 3-4. So nawaza nikijitajia figure flani kwa masifa naweza nikakosa hata hiyo laki 3 na huku balance ya kutumia kutuma maombi inaelekea kwisha.

Sijui kunegotiate au nilichokisomea ndo hakina dili??
 
Anza na kazi hyo ya laki 5 then endelea kutafuta kazi/kutuma cv maeneo mbalimbali ktk field yako.Ukiitwa kenye interview kafanye then kwenye kubagain salary taja hzo figure zako za 2mil,1.5 na etc.
NI RAHISI KUPATA KAZI UKIWA NA KAZI.
 
Anza na kidogo kabla ya kutaman vikubwa. Na huwez ukaanzia mia bila kupita moja. Na zaid binadam tumeumbwa na nyota hivyo usitake kusafiria nyota ya mwenzio utakengeuka
 
unavyoingia kazin kwa mara ya kwanza watu wanakuwa hawakufahamu utendaji wako wa kazi

Pale unapopata experience ya kutosha na kila mmoja japo si wote wanakubaliana na kazi unayofanya, nikiwa na maana unakuwa chanzo cha mapato kwa kampuni unayofanya, kampuni itapata jina kupitia wewe na wewe ukalitambua hilo kuwa mimi ndo mtaalam hapa kwa sekta hii, hapo figure lazima ipande maana mtakaa mezani na kunegotiate kwa kujivunia kile kinachoonekana

Kwa mantiki hiyo, fuata kanuni ya mwanajeshi achagui msitu wa kupigana kwa maana ana amini mwisho wa siku atakuwa mshindi japo yawezekana akaishia njian na vita asimalize

Anza hata na 300,000/= kwa malengo ya kupanda dau pale muda ukifika
 
Kazi za creative kama hizo hazithaminiwi Bongo, fikiria kuhamia IT labda. Pia kama uko vizuri kweli angalia sites kama oDesk upate tender za nje.
 
next time ukiwa interviewed jaribu hivi..
**dadisi kwa wadau kwenye hiyo kampuni ..mtu wa hiyo ajira uombayo analipwa kiasi gani.. then kwenye kunegotiate utaanza hivi
1. natambua kama kampuni mna salary grades zenu according to any paticular job post in accordance to ones education qualifications.. so i leave the door open to hear from you first on what will be ur offer...
2.wakikung'ng'ania utaje wewe... just waambie(vaa uso wa kujiamini maana hiiyo ndio penalty ya maisha yako)..am very sure that i'll add more value and positive contribution to the company.. having also assessed the living costs.. i am asking for ......tshs as A TAKE HOME SALARY (taja kubwa kuliko ile uliyosikia wanatoa) then waambie but i am still kind enough to leave the door wide open for some negotiations....
hapo utawasikikizia..
●DAWA NI KUPIGA KAZI KWA BIDII KWA KILA NAFASI YA AJIRA UTAKAYOBAHATIKA NA KUISHI VIZURI NA STAFF WENZAKO
NOTE: IKITOKEA UMEPATA NAFASI AU HAPO UNAPOFANYIA IKIFIKIA MKATABA MMEMALIZA AU UNAACHA KAZI...muombe muajiri akuandikie (the letter of recommendation on ur contribution during ur working period) some kind of appreciation...
EPUKA KUACHA KAZI KWA UBAYA..kuwe na mutual consent..baadhi ya waajiri wapya hupiga simu sehemu ulizofanya kazi ili wajue wanaajiri mtu wa aina gani..sasa kama ulikichafua it'll be your loss..
BEST OF LUCK BROTHER
 
naamini umepata ushauri safi mkuu
Wakuu, naumwa kichwa.

Naumwa kichwa na huu mwezi sipati usingizi kwa sababu hii mada inajizungusha kichwani mwangu bila hata hiari yangu ya kuamua cha kufikiria.

Naumwa kichwa pale ninapoona mfanyakazi mwingine mwenye fani kama yangu na pengine namzidi creativity analipwa 1.2 mil - 2 mil wakati mimi take-home ni laki 3 kwa mwezi.

Nimesoma Graphic design na kampuni nyingi nilizopeleka maombi au kuwahi kuajiriwa hakuna iliyokubali kunipa beyond laki 5 wakati ninawafahamu watanzania (wachache), wakenya na wahindi wanoochukua 1M na kuendelea.

Wao wenyewe wakitizama Portfolio yangu wananywea...hata CV yangu ni very modern, very creative and eye-catching on the first look kwa content na design yake. Nikiwa naiprint stationery muhudumu anasema waoooo!

Hakuna ambacho sijakifanyia research na kukiapply in terms of application letter, CV, certificates delivering, interview sessions nk.

Nimekuwa nikijitahidi kuseam "interview hii nikiulizwa salary expectation niseme laki 8 au 1M", lakini nikifanya research kwa madesigner waliowahi kupita pale hakuna aliyegonga zaidi ya laki 5...wengi ni laki 3-4. So nawaza nikijitajia figure flani kwa masifa naweza nikakosa hata hiyo laki 3 na huku balance ya kutumia kutuma maombi inaelekea kwisha.

Sijui kunegotiate au nilichokisomea ndo hakina dili??
 
Mkuu kama kweli ukiipenda kazi yako unayofanya, huo mshahara huwezi kuona mdogo wala mkubwa…

Anza kwa kupenda kazi kwanza, mishahara minono itakuja mingi sana

People they normally focus too much on salary rather than the jobs they are doing
 
next time ukiwa interviewed jaribu hivi..
**dadisi kwa wadau kwenye hiyo kampuni ..mtu wa hiyo ajira uombayo analipwa kiasi gani.. then kwenye kunegotiate utaanza hivi
1. natambua kama kampuni mna salary grades zenu according to any paticular job post in accordance to ones education qualifications.. so i leave the door open to hear from you first on what will be ur offer...
2.wakikung'ng'ania utaje wewe... just waambie(vaa uso wa kujiamini maana hiiyo ndio penalty ya maisha yako)..am very sure that i'll add more value and positive contribution to the company.. having also assessed the living costs.. i am asking for ......tshs as A TAKE HOME SALARY (taja kubwa kuliko ile uliyosikia wanatoa) then waambie but i am still kind enough to leave the door wide open for some negotiations....
hapo utawasikikizia..
●DAWA NI KUPIGA KAZI KWA BIDII KWA KILA NAFASI YA AJIRA UTAKAYOBAHATIKA NA KUISHI VIZURI NA STAFF WENZAKO
NOTE: IKITOKEA UMEPATA NAFASI AU HAPO UNAPOFANYIA IKIFIKIA MKATABA MMEMALIZA AU UNAACHA KAZI...muombe muajiri akuandikie (the letter of recommendation on ur contribution during ur working period) some kind of appreciation...
EPUKA KUACHA KAZI KWA UBAYA..kuwe na mutual consent..baadhi ya waajiri wapya hupiga simu sehemu ulizofanya kazi ili wajue wanaajiri mtu wa aina gani..sasa kama ulikichafua it'll be your loss..
BEST OF LUCK BROTHER

Salute sana mkuu kwa ushauri huu.
Umenifungua sana na mimi kwa upande wangu.
Nikianza mishe za kusaka ajira soon nitaweka mbele hii confidence uliyoimwaga hapa.
Mwenyezi Mungu atupe nguvu sote..
 
Wakuu, naumwa kichwa.

Naumwa kichwa na huu mwezi sipati usingizi kwa sababu hii mada inajizungusha kichwani mwangu bila hata hiari yangu ya kuamua cha kufikiria.

Naumwa kichwa pale ninapoona mfanyakazi mwingine mwenye fani kama yangu na pengine namzidi creativity analipwa 1.2 mil - 2 mil wakati mimi take-home ni laki 3 kwa mwezi.

Nimesoma Graphic design na kampuni nyingi nilizopeleka maombi au kuwahi kuajiriwa hakuna iliyokubali kunipa beyond laki 5 wakati ninawafahamu watanzania (wachache), wakenya na wahindi wanoochukua 1M na kuendelea.

Wao wenyewe wakitizama Portfolio yangu wananywea...hata CV yangu ni very modern, very creative and eye-catching on the first look kwa content na design yake. Nikiwa naiprint stationery muhudumu anasema waoooo!

Hakuna ambacho sijakifanyia research na kukiapply in terms of application letter, CV, certificates delivering, interview sessions nk.

Nimekuwa nikijitahidi kuseam "interview hii nikiulizwa salary expectation niseme laki 8 au 1M", lakini nikifanya research kwa madesigner waliowahi kupita pale hakuna aliyegonga zaidi ya laki 5...wengi ni laki 3-4. So nawaza nikijitajia figure flani kwa masifa naweza nikakosa hata hiyo laki 3 na huku balance ya kutumia kutuma maombi inaelekea kwisha.

Sijui kunegotiate au nilichokisomea ndo hakina dili??

Mkuu naomba format ya CV yako kama hautojali...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom