Simba Mkali
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 620
- 239
Sina hata haja ya kutoa maelezo mengi, leo Ijumaa ndiyo mwisho wa Sensa na kwa jinsi ambavyo nimeshuhudia zoezi lenyewe lilivyopelekwa pelekwa kwa vyovyote vile limefeli, tungoje idadi ya uongo ya uongo. lakini nadhani kuna fundisho tutakuwa tumelipata.
Viongozi wa serikali wanatakiwa kujenga mpango makini wa kudumu katika kufanikisha zoezi hilo kilahisi next time.
Viongozi wa serikali wanatakiwa kujenga mpango makini wa kudumu katika kufanikisha zoezi hilo kilahisi next time.