Najua watu wajaji uandishi wako lakini mwenye akili timamu ameelewa mimi nikupe pole mpe likizo japo miaka 2 unakuja kunishukuluNilikua nae kwa mda wamiaka mitatu tumebahatika kupata mtt mmoja wakiume amewahi kuondoka nakurudi kwao mala 2 hii safari ya tatu.kibaya zaidi hataki kupokea cm ananitukana matusu kwenye sms kilanikitaka kumujulia mtt haliyake.
Mala ya kwanza aliondoka alikutasms ya jinsia yakike kwenye cm akachukua cm haikujulikana kapeleka wap nilivyo muuliza nanambia kuna Masai alimpa dawa ya uzazi, nilivyomuuliza anakudai shilling ngap anasema elf 15 simu ilikua samasang.keshoyake nimerudi nyumban nikakuta kufuri ufunguo kwamajilani cm yake haipatikani kwao wakadai hawana taarifa. Nikakaa mwezi mmoja nikamfata tukakaa matusi yakaanza tena hupendi watoto hutakinizae tunaenda hospital wakapima ultrasound pelvic inaonesha ana retlovated uterus kitaaramu wanasema hakunashida yoyotu kuhusiana na kuzaa anambia kunadawa ya kienyeji yakukalia.
Lakini mwaka mmjo nyuma aliwahi kubeba mimba ikafikisha mwezi mitatu ikavuja damu Dr anasema anashangaa hajawai kuona mimba ya hivi maana mimba ilikua unakua badala mtto akulie kwenye uterus alikuaanatoka nje ya uterus hivyo ikasababisha mimba kutoka baada ya hapo ndoshida zilianzia.
Malayapilia aliondoka nilikuanimekwenda hospital kazin kilanikichelewa anambia nilikua kwa wanawake lakini mim nilikua najitolea hivyo silipwi nilikuanatafuta uzohefu nikawanauziwa sift mfana naingia saa2 natoka saa 8 Dr wa saa8 anakwambia nishikiezam mpaka saa2 usk baadae upitie hela.nikakuta ameondoka napesa kidogo tulikua tumetunza sikujali nilikaa baada ya mda miezi4 nikamfata mdahuo alikua na mimba ya miez3 hivyo nikamfata mimba ilikua na miezi Saba ili ajifungulie hospital nilipokuanajitolea maana niliajua itanisaidia zaid.
Mungu si asumani mungu akajalia akajifungua salama japo ugomviwetu ulikua pale pale manusula afanyiwe operation alijifungua mwezi wa pili miminikawa ninaendelea nashipt zangu za volunteer kama kawaida mtt kafikiaha miezi mtata ugomviwetu ukawa kawaida sikuhiyo nimechelewa nikiludi sa3 usk na sabuni ya unga ya Lita 10 nikafikia matusi ya Wana wake nikaombwanauli haendekwao nikaongea na mama mkwe akaongeanae yakaisha baada ya wiki ikaanza tena nilikuanimeacha shilling el30 nikawa Sina hata mia ya vocha nikaangalia tunapotunza pesa Sion kitu nikakuuliza kanambia anataka kumununulia mtt begi langua poa nikakubali kesho yake jion nikaja nikaambiwa tena nimechoka kukaa naomba nauli.
Daa nikamwambia Sina kitu kama unawezanivumilia subulijion nakujanayo anasema hataki nikamwambia bas chukua kitu kimoja Kati PC ,sabufa au flat. Uza saa5 asbh nikaambiwa anahamisha vituvyote vya ndani nikaja tukasuruhishwa na wazazi yakaisha anaomba nauli nikampa elf40 akakataa nauli ni elf 15 kufika kwao nikamuuliza kuhusu elf30 tuliyo tunza ana SEMA ni elf 10 mbele ya wazazi.