Habari wanaJF? kwanza niwasalimu na kuwashukuru Mods kwa kunipokea hapa jamvini. Ninayo mengi ya kusema nanyi hususani kuhusu ufahamu wa wanabodi kuhusiana na jimbo la Nyang'hwale kwani sielewi kama watu wanatambua uwepo wake!!! Ikiwa ni wanajimbo wenyewe, watawala na hata wadau wowote wawao wa maendeleo. Watakaosema lolote, ama watakuwa wamenitoa matongotongo au watakuwa wamenipa pakuanzia kupata taarifa za jimbo hili.
Nawasilisha.
Nawasilisha.