CELLULAIRE
Member
- Mar 16, 2016
- 76
- 97
Kwamba ukiona wanawake wanaenda sana nyumba za ibada na wanakuwa wacha Mungu jua ya kwamba huko nyuma walikuwa hawajatulia.
Wameshafanya kila aina ya ukatili hasa kwa wanaume mbalimbali. Wametoa mimba zisizo na idadi na kwamba wameroga hadi hata Shetani mwenyewe amebaki kuwashangaa.
Na kwamba ukiona wanaume wamebadilika na kuwa wacha Mungu na wanafanya sana Ibada jua ya kwamba wameshaiba sana kwa ujambazi, walikuwa ni mafisadi huko walikokuwa makazini mwao, wameshatembea na wake za watu bila huruma, wamedanganya sana na wameshafumaniwa vya kutosha hadi kufikia hatua za kukoswakoswa kuuwawa au kufanyiwa vitendo vya Sodoma na Gomora.
Wameshafanya kila aina ya ukatili hasa kwa wanaume mbalimbali. Wametoa mimba zisizo na idadi na kwamba wameroga hadi hata Shetani mwenyewe amebaki kuwashangaa.
Na kwamba ukiona wanaume wamebadilika na kuwa wacha Mungu na wanafanya sana Ibada jua ya kwamba wameshaiba sana kwa ujambazi, walikuwa ni mafisadi huko walikokuwa makazini mwao, wameshatembea na wake za watu bila huruma, wamedanganya sana na wameshafumaniwa vya kutosha hadi kufikia hatua za kukoswakoswa kuuwawa au kufanyiwa vitendo vya Sodoma na Gomora.