St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,629
- 4,504
Nimelog in JF nakutana na notification yangu inasomeka kuwa nimepata LIKE 22,nikashangaa imekuwaje kuja kutazama zote zimetoka kwa Ciello 20 na Madame B 2.Hapa najihisi kuchanganyikiwa maana haijawahi kutokea hii,au kwa wenzangu ni jambo la kawaida kwenu kupokea Like za hawa warembo.Au inawezekana ni majibu ya yale niliyouliza kuhusu kuzeeka kwa wanaume..??Naomba msaada wa mawazo wakuu..
Last edited by a moderator: