gidume
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 743
- 906
Wakuu kwema?
Sijielewi elewi, kimsingi sijawahig kukaa na pesa zaidi ya week moja, nakua nimeshaivuruga yote hata iwe kiasi gani.
Kisa kilichonifanya nije na hii mada.
Majuzi kama mwezi mmoja umepita baada ya shughuli zangu zote kugoma nikasema sbr niuze ka ofisi changu..na kweli nikafanikiwa kupata mteja tukafanya biashara kwa sababu najijua mimi pesa yangu huwaga haidumu mifukoni kwangu nikasema sbr nianze kuiallocate sehemu tofauti ili adi iishe atleast niwe na kitu cha kusema nimefanya na kikainua kitu kingine.
Nilitaka niiamshe ofisi nyingine ambayo nilikua naona itanipa matumaini ambayo pia niliifunga kutokana na ukosefu wa ukwasi hivyo nikawa nayo nataka niiuze hivyo ikawahi hii kutoka. Nikawa nna kama mil 6 kwa bei ya kuiuza, ghafla akaja mteja akapanda dau kwenye gari yangu nnayotumia mil 15 nikasema nisiache pesa sbr niuze, jumla nikawa na mil 21,000,000 kwenye account.
Nilivyoona vile nikajiapiza sitokaa na njaa tena maishani mwangu labda niwe sio mimi na familia yangu sasa itaanza kula matunda ya uwekezaji mdogo niliopitia changamoto kujikusanya miaka mitatu au minne iliopita.kwa sasa nna miaka 32 tu.
Ghafla baada ya kupata ile pesa nikaona gari nzuri kweli inatangazwa kwenye mtandao inauzwa mil 17... nikaipandia basi kuifata nikanegotiate kwa mil 16 wakakubali nikawalipa nikarudi kuendelea na maisha yangu.
Zikabaki kama tsh mil 4,500,000 ukitoa mambo mengine ya matumizi na vitu vingine.
Nilivyorudi nikaanza kuhudumia ofisi ile nyingine nikalipa kodi za ofisi zangu na kufanya mambo mengine.
Kuna siku nikatoka weekend na warembo kujipongeza nikatumia kama laki mbili na shopping kiasi kwa mambo ya ndani..ya vitu visivyo vyakula.
Nakumbuka hela ya mwisho imeisha naitumia nategemea kuna deal linatick bahati mbaya lile deal halijatick.
Sasa nimerudi upyaaa kwenye umaskini yani adi sasa kwenye account inasoma tsh 12,000/=na leo nalumangia ugali na soda ya juzi nilioacha kwenye fridge.
Sasa najiuliza hili ni janga langu au wengine mnatumia njia gani kuhifadhi pesa zenu msizitumie hovyo.
Naendesha gari ya gharama mtaani najulikana nna pesa kumbe nalala na njaa.
Nimewaza niiuze tena hii gari..je haitatokea nikiuza nizitafune hizo pesa kimazingara kama nilivyozifanya hizi mil 5? Maana hazijamaliza ata siku tano zimeisha adi to 12,000/= balance ambayo huwezi ukatoa .
Kitu kibaya zaidi napenda sana kuishi kibabe, yani kutumia vitu expensive kama magari ndo ugonjwa wangu kulingana na nilivyojiwekeza. Mind you kwa sasa sina kipato cha namna yoyote zaidi nilitegemea niinue hiyo ofisi lakini nashangaa ata kukamilika haijakamilika na pesa zimeniishia.
Kazi nilishaacha sababu ya figisu na manyanyaso ya boss, nikasema kwa jinsi nimejiwekeza sbr nijaribu kujisimamia lakini nimekuja kugundua sina hicho kipaji.
Tushauriane jinsi ya kusave pesa maana naona umaskini unaniita..nimeuza vitu vingi sana..kuweka bond ndo usiseme vingine nimeshindwa kuvitoa na mingineyo.
Namuonea huruma mtoto wangu bado mdogo ana miaka mitano lakini na yeye anapenda sana quality life nisije nikamkosesha huko mbeleni kuishi maisha atayopenda.
Au kuna chuma ulete apa kati maana naogopa ata kuhighlight matumizi. Nafsi haitaki kuyapitia ili nione nilitumiaje.
Mbona hatari
Nawasilisha...
Sijielewi elewi, kimsingi sijawahig kukaa na pesa zaidi ya week moja, nakua nimeshaivuruga yote hata iwe kiasi gani.
Kisa kilichonifanya nije na hii mada.
Majuzi kama mwezi mmoja umepita baada ya shughuli zangu zote kugoma nikasema sbr niuze ka ofisi changu..na kweli nikafanikiwa kupata mteja tukafanya biashara kwa sababu najijua mimi pesa yangu huwaga haidumu mifukoni kwangu nikasema sbr nianze kuiallocate sehemu tofauti ili adi iishe atleast niwe na kitu cha kusema nimefanya na kikainua kitu kingine.
Nilitaka niiamshe ofisi nyingine ambayo nilikua naona itanipa matumaini ambayo pia niliifunga kutokana na ukosefu wa ukwasi hivyo nikawa nayo nataka niiuze hivyo ikawahi hii kutoka. Nikawa nna kama mil 6 kwa bei ya kuiuza, ghafla akaja mteja akapanda dau kwenye gari yangu nnayotumia mil 15 nikasema nisiache pesa sbr niuze, jumla nikawa na mil 21,000,000 kwenye account.
Nilivyoona vile nikajiapiza sitokaa na njaa tena maishani mwangu labda niwe sio mimi na familia yangu sasa itaanza kula matunda ya uwekezaji mdogo niliopitia changamoto kujikusanya miaka mitatu au minne iliopita.kwa sasa nna miaka 32 tu.
Ghafla baada ya kupata ile pesa nikaona gari nzuri kweli inatangazwa kwenye mtandao inauzwa mil 17... nikaipandia basi kuifata nikanegotiate kwa mil 16 wakakubali nikawalipa nikarudi kuendelea na maisha yangu.
Zikabaki kama tsh mil 4,500,000 ukitoa mambo mengine ya matumizi na vitu vingine.
Nilivyorudi nikaanza kuhudumia ofisi ile nyingine nikalipa kodi za ofisi zangu na kufanya mambo mengine.
Kuna siku nikatoka weekend na warembo kujipongeza nikatumia kama laki mbili na shopping kiasi kwa mambo ya ndani..ya vitu visivyo vyakula.
Nakumbuka hela ya mwisho imeisha naitumia nategemea kuna deal linatick bahati mbaya lile deal halijatick.
Sasa nimerudi upyaaa kwenye umaskini yani adi sasa kwenye account inasoma tsh 12,000/=na leo nalumangia ugali na soda ya juzi nilioacha kwenye fridge.
Sasa najiuliza hili ni janga langu au wengine mnatumia njia gani kuhifadhi pesa zenu msizitumie hovyo.
Naendesha gari ya gharama mtaani najulikana nna pesa kumbe nalala na njaa.
Nimewaza niiuze tena hii gari..je haitatokea nikiuza nizitafune hizo pesa kimazingara kama nilivyozifanya hizi mil 5? Maana hazijamaliza ata siku tano zimeisha adi to 12,000/= balance ambayo huwezi ukatoa .
Kitu kibaya zaidi napenda sana kuishi kibabe, yani kutumia vitu expensive kama magari ndo ugonjwa wangu kulingana na nilivyojiwekeza. Mind you kwa sasa sina kipato cha namna yoyote zaidi nilitegemea niinue hiyo ofisi lakini nashangaa ata kukamilika haijakamilika na pesa zimeniishia.
Kazi nilishaacha sababu ya figisu na manyanyaso ya boss, nikasema kwa jinsi nimejiwekeza sbr nijaribu kujisimamia lakini nimekuja kugundua sina hicho kipaji.
Tushauriane jinsi ya kusave pesa maana naona umaskini unaniita..nimeuza vitu vingi sana..kuweka bond ndo usiseme vingine nimeshindwa kuvitoa na mingineyo.
Namuonea huruma mtoto wangu bado mdogo ana miaka mitano lakini na yeye anapenda sana quality life nisije nikamkosesha huko mbeleni kuishi maisha atayopenda.
Au kuna chuma ulete apa kati maana naogopa ata kuhighlight matumizi. Nafsi haitaki kuyapitia ili nione nilitumiaje.
Mbona hatari
Nawasilisha...