INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 1,732
- 15,810
Wakuu maisha yangu yote sijawai kujihusisha na mapenzi, nilikua napendwa sana na galz but nilikua sina time nao. Wakati nipo 6 niliingia kwenye mahusiano na dada m1 but nilimwacha bila sababu yoyote ya msingi tulidumu kwa mwezi tu. Sijawai kusex ndugu zangu, Nilikua nafanya nae romance lazima nimwage wazungu nakua sina ham tena ya romance. Kutokana na kulelewa malez ya kimungu na my family na ushaur niliokuwa napewa na wazaz niliogopa sana kufanya mapenz hasa niliambiwa kuna UKIMWI.
Since nmeingia college sijawai kujihusisha na mahusiano nilikua busy sana na shule hata madem nilikua sina time nao. Nimeishi maisha ya usingle kwa miaka3 yote ya chuo. Baada ya kumaliza chuo nilibahatika kupata mpenzi mwez8, tulipendana sana but yeye alikuw anasoma bado. Kutokana niliona ni muda wangu sahihi wa mm kuanza mahusiano.
Miaka yangu yote ya usingle sijawai kuwa addicted na puli japo nilikua napiga sometimes (rarely). Nipeni wanajf abt this.
Since nmeingia college sijawai kujihusisha na mahusiano nilikua busy sana na shule hata madem nilikua sina time nao. Nimeishi maisha ya usingle kwa miaka3 yote ya chuo. Baada ya kumaliza chuo nilibahatika kupata mpenzi mwez8, tulipendana sana but yeye alikuw anasoma bado. Kutokana niliona ni muda wangu sahihi wa mm kuanza mahusiano.
Miaka yangu yote ya usingle sijawai kuwa addicted na puli japo nilikua napiga sometimes (rarely). Nipeni wanajf abt this.