Mmmhhh mi mwenyewe sijasikia... Ngoja wenyewe wanaweza saidia kuhusu hilo..Katika maajabu ya dunia sijawahi sikia nafasi ya mwenyekiti CHADEMA taifa ikikaimiwa na mtu mtu.Ina maana Mbowe huwa hasafiri hata siku moja kutwa yuko nchini kang`ang`ania kiti cha CHADEMA?
kila chama kina taratibu zake ...... hangaika na chama chako ya chadema waachie chadema
Wewe nikome unajua mimi ni mlipa kodi ambaye kodi zangu CHADEMA huwa inazitumia kama ruzuku.Utaninyamazishaje mtu ninayekupa ruzuku na inasainiwa na waziri wa fedha na mwenyekiti wa CCM taifa ili CHAMA chako kiendelee kupumua.
ukome mwenyewe huko ccm kunamauchafu kibao huyaoniWewe nikome unajua mimi ni mlipa kodi ambaye kodi zangu CHADEMA huwa inazitumia kama ruzuku.Utaninyamazishaje mtu ninayekupa ruzuku na inasainiwa na waziri wa fedha na mwenyekiti wa CCM taifa ili CHAMA chako kiendelee kupumua.
Katika maajabu ya dunia sijawahi sikia nafasi ya mwenyekiti CHADEMA taifa ikikaimiwa na mtu mtu.Ina maana Mbowe huwa hasafiri hata siku moja kutwa yuko nchini kang`ang`ania kiti cha CHADEMA?
Mnafurahiia upuuzi anaowafanyia CUF...jamaa yenu Pro pesa!Katika maajabu ya dunia sijawahi sikia nafasi ya mwenyekiti CHADEMA taifa ikikaimiwa na mtu mtu.Ina maana Mbowe huwa hasafiri hata siku moja kutwa yuko nchini kang`ang`ania kiti cha CHADEMA?
Nafikiri kuna huja ya kuanzisha oparesheni UKUTAKatika maajabu ya dunia sijawahi sikia nafasi ya mwenyekiti CHADEMA taifa ikikaimiwa na mtu mtu.Ina maana Mbowe huwa hasafiri hata siku moja kutwa yuko nchini kang`ang`ania kiti cha CHADEMA?
qO NDO WALIMTUMAMali binafsi haikaimishwi hadi kifo.
Katika maajabu ya dunia sijawahi sikia nafasi ya mwenyekiti CHADEMA taifa ikikaimiwa na mtu mtu.Ina maana Mbowe huwa hasafiri hata siku moja kutwa yuko nchini kang`ang`ania kiti cha CHADEMA?
ACHA KUINGILIA MAMBO AMBAYO HAYAKUHUSU......FANYA YAKOKatika maajabu ya dunia sijawahi sikia nafasi ya mwenyekiti CHADEMA taifa ikikaimiwa na mtu mtu.Ina maana Mbowe huwa hasafiri hata siku moja kutwa yuko nchini kang`ang`ania kiti cha CHADEMA?