Patrick Elias
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 332
- 108
- Thread starter
- #41
Sijaelewa lengo lako mpaka sasa.umepewa kazi na mmarekani au namtumbo wamesitisha kuchimba uranium hivyo neti tumepewa bure? America kakusaidia nini wewe? Matangazo ya usaid ndo yanakuchanganya? Labda ngoja uelimike kidogo.wasio wapumb.avu hawataki misaada ya wamagharibi kwakuwa masharti yao tunayajua.vile vile siku zote utakula ulipolala.kuna msaada ambao America kautoa bure tu? Utampa 10 yeye atatoa moja.nchi nyingi mfano yetu zimejiegemeza kwenye vifua vya wamagharibi ambao wako kinyume na urusi na mataifa mengi ya mashariki ikiwemo china na Korea kaskazini.nimeona unaitukana DPRK hapo juu.hivi unajielewa? Korea ina njaa? Iko advanced kwenye kila kitu kama wamagharibi au unadhani America amependa kuufyata? Anarusha drone kama ya mmarekani then Patrick Elias wa Tanganyika anawaita njaa tu.ulipata bahati ya kuspma harakati za kuikomboa Africa? Nchi kama USSR na Cuba ndo zinatajwa sio America inayokupa neti na kukuletea dengue kisha akaondoka na uranium.eti Korea njaa tu unaikumbuka hotuba ya nyerere wakati anaongelea msaada wa mpunga toka Korea? Wakati anaifananisha tabora na DPRK.kuanzia technology mpaka kufua nguo kwa wewe pat hujawafikia wakorea.
Bahati mbaya umefumbwa macho na mahindi ya njano ili usione miradi ya USA ndani ya Tanzania........BTW una binti wa kike kwenu? Kama si wako hata wa mjomba au mdogo ako naamini nikileta kiroba cha unga nishahalisha ndoa.
http://www.northkoreanow.org/the-crisis/mass-starvations-in-north-korea/
Eti north korea hakuna njaa! Soma chukua hiyo link sasa
Last edited by a moderator: