KIWAVI
JF-Expert Member
- Jan 12, 2010
- 1,817
- 699
Bush kasaidia pesa ya miradi kibao, obama kaja na pesa kibao na mradi wake wa power afrika, USAID inapiga jeki hadi visima vya maji vijijini. Huyo putin na russia yake kasaidia nini cha maana hadi mnamkubali kiasi hicho? Si bora hata norway
Dah.... Akili fupi kuliko job ndugai