Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Hamjamboni!
Viongozi wakuu wa Chama Cha Mapinduzi na Serikali yake mara kadhaa utawaona wakiambatana na Wenza wao wanapohudhuria shughuli mbalimbali za Kisiasa, Kichama, Kiserikali, Kidini au Kijamii n.k. Ushahidi wa jambo hili upo wazi kabisa Wala hakunaga Ubishi.
Hata hivyo nashangaa Sana Kwanini Viongozi Wakuu wa Upinzani hata siku moja huwezi waona wakiambatana na Wenza wao awe wa Kiume au wa Kike?
Najiuliza kuwa tatizo lipo wapi?
Je Ni masharti ya Waganga?
Je Ni ukosefu wa Maadili?
Je Wamekosa Wenza?
Je ni changamoto za kibaolojia?
Je Ni Sababu za Mila na Desturi?
Tusaidiane Wadau kupeana mawazo.
NB: Wenza ninaokusudia Ni kwa mujibu wa vitabu vya Dini Zetu Kuu.
Viongozi wakuu wa Chama Cha Mapinduzi na Serikali yake mara kadhaa utawaona wakiambatana na Wenza wao wanapohudhuria shughuli mbalimbali za Kisiasa, Kichama, Kiserikali, Kidini au Kijamii n.k. Ushahidi wa jambo hili upo wazi kabisa Wala hakunaga Ubishi.
Hata hivyo nashangaa Sana Kwanini Viongozi Wakuu wa Upinzani hata siku moja huwezi waona wakiambatana na Wenza wao awe wa Kiume au wa Kike?
Najiuliza kuwa tatizo lipo wapi?
Je Ni masharti ya Waganga?
Je Ni ukosefu wa Maadili?
Je Wamekosa Wenza?
Je ni changamoto za kibaolojia?
Je Ni Sababu za Mila na Desturi?
Tusaidiane Wadau kupeana mawazo.
NB: Wenza ninaokusudia Ni kwa mujibu wa vitabu vya Dini Zetu Kuu.