Hao wenye nyekindu mkuu, kumbe hata huja graduate!
Achana na bwegge huyo, kuchambisha vizee Marekani kumeshamtoa ufahamu.
Yaan wewe ni mjinga na mpu.mbvu kabisa,unaona serikali kukusomesha ndio kete ya kuitetea.Je,akina Prof.Lipumba walisomeshwa na nani kama sio serikali? Huu ni ushamba na unaonesha ni jinc gani ulivyo mzembe kufikiri. Kumbe wewe serikali inaweza hata kukfnyia lolote kisa tu imekusomesha? Wajinga kama wew ndio bado mko ccm.
these are mere words, gat no back ups.. anyone can post, considering anonymity.. bdo sijaona facts zenu!
upumbavu unakuelemea, hata ukikobolewa pamoja na ngano kinuni upumbavu haukutoki. wala elimu haitakusaidia.
Wewe ndio utakuwa -------- zaidi; jaribu sana kutumia akili yako pamoja na kwamba vichwa vyenu vimekuwa tutusa; taofauti kati yangu na hao waganga njaa wenzio siitetei CCM wala serikali yake ili inipe ulaji au cheo; sina shida hiyo kazi yangu inatosha sana kunifanya niyamudu maisha yangu;hao waganga njaa wenzako wanakesha ili wapewe ulaji na Chadema; wewe ndio mjinga wa mwisho kabisa kama akilini mwako unadhani Chadema ndio mtetezi wako tafuta pa kwenda!
Pole sana mkuu nimeguswa sana na post yako. Kweli watu wamejeruhiwa mno na kila kukicha wanaongezeka Eee Mungu tuepushie hizi balaa.Mwigulu wewe ni mtu mwenye nyadhifa na fedha katika nchi hii na ndio hata baada ya kumpoteza mwanangu nimeshindwa kujitokeza hadharani na kwenda kukushitaki kwani ninajua nikijaribu na mimi pia nitapoteza maisha yangu. Mipango yako dhidi ya mauaji ya soweto (bomu la soweto)ninajua fika hukulifanya kibinafsi kwani ulikuwa na maslai ya chama chako na msukumo wa nguvu kutoka kwa baadhi ya watu ambao sio waaminifu serekalini.
Ila elewa nguvu uliyokuwa nayo iko siku utaikosa na upande wa pili utakuwa na nguvu na hapo ndio itakuwa muda muafaka kwangu kulipiza kisasi.
Namuomba Mungu atupe maisha marefu ili nchi hii ije kushuuudia ukilipa uliyoyafanya.