Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,397
Kuna watu huwa hawajui kununa. We ukimuudhi yeye anacheka tu. anaweza kuwa kwenye hali ngumu ya kutatiza lakini utakuta mtu bado anatabasamu tele usoni.
Hivi watu ni wa kawaida kweli au?
Hivi watu ni wa kawaida kweli au?