Sijawahi kuumia kama nilivyoumia hivi sasa nisaidieni

Polee, huenda kule kumpenda sana kuliko anavyostahili ndio kumesababisha Leo amekuumiza sana ingawa hukustahili maumivu, ni vyema uwe imara na kumruhusu aende lakn usisahau kuwa na busara za kumsubiria yule unayesitahili kuwa naye, AMKA
 
Mrudie uendelee nae wakat huo ukijifunza taratibu kuishi bila yeye then na wewe unatafuta wako taratibu
Dada ukweli ni kwamba ndoa za sasa ni majanga matupu cheating nje nje hata wewe ukiolewa utaibiwa pia so iba tu haina ubaya
 
Habari ndugu zangu! Nimeachana na mtu niliekua na mpenda sana tulikuwa kwenye mahusiano takribani miaka 2 na tumeachana baada ya yeye kuniambia ukweli kuwa ameoa tayari ana mke na mtoto mmoja " last week aliniomba tukutane akemi kwa ajili ya Dinner then baada ya hapo ndio akanitamkia Haya "trisha mpenzi wangu nimekuwa nikiificha hii siri kwa mda wote huo tukiwa kwenye mahusiano sababu ninakupenda na bado ninakuhitaji ila kiukweli mimi nimeoa ni Mume wa mtu na nina mtoto 1 kwa kipindi chote hicho nmekuwa nikijitahidi sana usijue sababu nikihofia kukupoteza " Sasa nmeona sikutendei haki nmeona nikuambie ukweli ili ufanye maamuzi pia kwa upande wako
Baada ya hapo nilikuwa kama nimepigwa shot ya umeme niliondoka sikujibu chochote njiani nikawa nalia sana.... Nikarudi home nikapata nguvu ya kumtumia message "its over between us" baada ya hapo usiku wa saa 8 nilizidiwa sana nikapelekwa Hosp nikalazwa since iyo last week nmekuwa sijielewi mpaka sasa nashindwa hata kula chakula nakunywa vimiminika tu Juice, na maji what even worse hata usingizi ninakosa usiku lazima ninywe dawa za usingiz ndo nilale , nmefikia hatua mpaka nachoma sindano za tramadol for the sake of usingiz ndio nilale hata kidogo naumia , najiuliza maswali mengi, najilaumu why me naomba mnisaidie cha kufanya
Njoo kwangu. Nitakusaidia kumsahau
 
We jamaa una asili ya roho mbaya sana, kweli kama jina lako linavyosema imani hakuna. Badala umshauri hata akupe nafasi wewe umtulize mtima, unamshauri aende kwa waganga akaharibu ndoa... Yule mtoto mdogo na mama yake wana hatia gani kwenye hilo kosa??? Utawalea wewe???

Ushauri, sometimes mungu ana makusudi yake, analeta watu katika maisha yetu kwa sababu zake na anawaondoa watu katika maisha yetu kwa sababu zake pia. All in all mshukuru mungu, huwezijua amemuondoa huyo jamaa katika maisha yako kwasababu zipi, pengine hakua mtu sahihi katika maisha yako au pengine angekuja kukufanyia ubaya mkubwa zaidi huko mbeleni!!!!

Swala la mahusiano nje ya ndoa mimi binafsi, huwa naliepusha na mahusiano ya mungu kabisa. Kwasababu mahusiano ya nje ya ndoa hayapo kimungu zaidi cuz yanasababisha kumkasirisha mungu kwa kufanya ufuska wa kila aina (Kuzini/Kugegedana/Kudanganyana/Kusalitiana n.k) na kumfurahisha shetani.

So how would we forsake god and his laws then when things get messed up, we tend to cry back to him and blame him???. Kifupi, mungu anatukataza tusifanye jambo fulani, halafu sisi kwa ukaidi na ujeuri wetu binaadamu tunafanya, jambo hilo likigeuka chungu then tunakimbia kwa mungu kulia na kumuuliza, why me god??? Kwanini mimi tu eh mungu???

#Usichukue personal nliyoyasema, hayo ni mtazamo wangu binafsi.
mungu
Mungu
god
God

Ni kweli asilie Mungu ana mpango nziri juu yake hawezi jua amemuepusha na nn. Amuelekee Mungu atmpa wa ubavu wake.
 
Time will come ambapo wanaume marijali tutahitaji ulinzi mkali sana, maana tutakuwa tukiwindwa na mashoga, wanawake na pia wale wanaume wasioweza kubebesha mimba watakuwa wakituwinda ili tukawape wake zao watoto
kwa hii prophecy .. miaka hiyo tutakukumbuka utaishi kwenye kumbukumbu za watu Kama mwona maono ..nabii bujibuji...
Prophet bujibuji..
Nami nitakuwa nikilitangaza jina lako ..na kusema kuwa alipata kutabiri ...😂😂😂
 
Duuuh aisee......2years hujawahi hata kujua ndugu au rafiki yake......shida yenu mnapenda vichipsi chipsi vya mitaani hata siku moja kusema nataka nikakupikie kwako ili ufanye kautafiti kumjua vizuri, mnashangilia vipiza na kuzurula kwenye mahotel, shopping malls.......kuwa na mtu serious kiasi hicho halafu unakula naye bata tu ni tatizo pia na kwako
 
Ila una moyo,miaka miwili yote unaning'inia tu kwenye mkuyenge wake hufahamu hata maisha yake
 
inaelekea huyo jamaa alikuwa sponsor na alikuchukulia kama chombo cha starehe tuh. ushauri wangu usijizuie kulia tena lia sana ukiweza hta garagara but itafika time utasema enough na utapata mwngne,
kitu kingine jitathmini umekaa kiwife material au ndo wale bata nyingi na tuma ya kutolea then anza kujiweka as wife material
 
Habari ndugu zangu! Nimeachana na mtu niliekua na mpenda sana tulikuwa kwenye mahusiano takribani miaka 2 na tumeachana baada ya yeye kuniambia ukweli kuwa ameoa tayari ana mke na mtoto mmoja " last week aliniomba tukutane akemi kwa ajili ya Dinner then baada ya hapo ndio akanitamkia Haya "trisha mpenzi wangu nimekuwa nikiificha hii siri kwa mda wote huo tukiwa kwenye mahusiano sababu ninakupenda na bado ninakuhitaji ila kiukweli mimi nimeoa ni Mume wa mtu na nina mtoto 1 kwa kipindi chote hicho nmekuwa nikijitahidi sana usijue sababu nikihofia kukupoteza " Sasa nmeona sikutendei haki nmeona nikuambie ukweli ili ufanye maamuzi pia kwa upande wako
Baada ya hapo nilikuwa kama nimepigwa shot ya umeme niliondoka sikujibu chochote njiani nikawa nalia sana.... Nikarudi home nikapata nguvu ya kumtumia message "its over between us" baada ya hapo usiku wa saa 8 nilizidiwa sana nikapelekwa Hosp nikalazwa since iyo last week nmekuwa sijielewi mpaka sasa nashindwa hata kula chakula nakunywa vimiminika tu Juice, na maji what even worse hata usingizi ninakosa usiku lazima ninywe dawa za usingiz ndo nilale , nmefikia hatua mpaka nachoma sindano za tramadol for the sake of usingiz ndio nilale hata kidogo naumia , najiuliza maswali mengi, najilaumu why me naomba mnisaidie cha kufanya
Pole kwa maswahibu. Nakushauri usiendelee kuumiza moyo wakati mdomo wako unaweza kukurudisha furaha uliopoteza. Kumbuka ni ww uliemwandikia "its over betwen us". Kwa hiyo sikiliza maumivu ya moyo wako. Usiombe msamaha ila mwambie "Nakushukuru kuniambia ukweli" wachache wanamoyo kama yuo". Kwahiyo mpigie muongee. Na ukipendezeshwa enshi nae kwa mkataba... "Kumbuka ukimvulia mamba nguo hutakiwi kurudi nyuma...." ((Njoo nikupe Dawa utafanyikisha anzma yako kwa haraka))
 
Kwanza pole sana,mapenzi yanauma yasikie tu kwa jiran,jitulize muombe sana MUNGU,ww si wa kwanza wala wa mwisho kuumizwa,kuna kitu kizuri mbeleni kinaandaliwa kwa ajili yako,usirudi nyuma,achana na huyo mtu japo inauma.
Mwisho nikuulize HUKUWAHI KUMLIZA MTU HUKO NYUMA?kama ulishawahi basi haya ndio malipo yako,yavumile yatapita.
 
Habari ndugu zangu! Nimeachana na mtu niliekua na mpenda sana tulikuwa kwenye mahusiano takribani miaka 2 na tumeachana baada ya yeye kuniambia ukweli kuwa ameoa tayari ana mke na mtoto mmoja " last week aliniomba tukutane akemi kwa ajili ya Dinner then baada ya hapo ndio akanitamkia Haya "trisha mpenzi wangu nimekuwa nikiificha hii siri kwa mda wote huo tukiwa kwenye mahusiano sababu ninakupenda na bado ninakuhitaji ila kiukweli mimi nimeoa ni Mume wa mtu na nina mtoto 1 kwa kipindi chote hicho nmekuwa nikijitahidi sana usijue sababu nikihofia kukupoteza " Sasa nmeona sikutendei haki nmeona nikuambie ukweli ili ufanye maamuzi pia kwa upande wako
Baada ya hapo nilikuwa kama nimepigwa shot ya umeme niliondoka sikujibu chochote njiani nikawa nalia sana.... Nikarudi home nikapata nguvu ya kumtumia message "its over between us" baada ya hapo usiku wa saa 8 nilizidiwa sana nikapelekwa Hosp nikalazwa since iyo last week nmekuwa sijielewi mpaka sasa nashindwa hata kula chakula nakunywa vimiminika tu Juice, na maji what even worse hata usingizi ninakosa usiku lazima ninywe dawa za usingiz ndo nilale , nmefikia hatua mpaka nachoma sindano za tramadol for the sake of usingiz ndio nilale hata kidogo naumia , najiuliza maswali mengi, najilaumu why me naomba mnisaidie cha kufanya
Umefanya kosa kukubali kumuacha haraka, kubali unampenda na unamuhitaji, mrudie alafu umuache taratibu taratibu hadi pale utakapomove on au kuanzisha mahusiano mapya, otherwise itakugharimu sana kutoka hapo
 

Similar Discussions

51 Reactions
Reply
Back
Top Bottom