Leo Wananchi Tukiangalia Makosa na Uhaini CCM Imeifanyia Tanzania, Tutaona Hata Mara Moja Viongozi wa CCM Hawatoi Msamaha Wala Kukubali Wamewaumiza Wananchi Wao. Tukianzia Rushwa, Umaskini na Kutokuwa na Majibu ya Uchumi. Leo Tukiangalia Maisha ya Watanzania, Tutaona Kuna Matabaka Mawili Makubwa: Walioiba na Maskini. Huu ni Mfumo Upi wa Uchumi au ni Mfumo wa "sisiemism" Imekuaje Wananchi Ambao Ndio Wengi Hawana Kazi na Hawawezi Kulipia Watoto Wao Mashuleni na Kushindwa Kujilipia Mahospitalini? Huu Utajili Unaotokana na Madini Unaenda Wapi? Ni Nini Sababu za Kufungwa na Kumalizika kwa Viwanda Tanzania? Ni Nani Anaruhusu Uingizaji wa Mchele, Mahindi na Sukari Tanzania Wakati Wakulima na Wafanyakazi Wanazidi Kufukuzwa na Wengi Kulipwa Mishahara Isiowatosheleza? Huu ni Uchumi au Ni Vyuo Gani Vinafundisha Uchumi wa Namna Hii? CCM Mkae Mkijua Mnawashikilia Watanzania Hostages, Tuachiliene Tuiendeleza Inchi Yetu. Tunataka Kufanya Kazi na Kupiga Kura kwa Uhuru...
"Mapinduzi Hata Mara Moja Hayataletwa na Viongozi wa CCM. Sisi Wananchi Lazima Tupiganie Hizi Haki Zetu Wenyewe"
"Mapinduzi Hata Mara Moja Hayataletwa na Viongozi wa CCM. Sisi Wananchi Lazima Tupiganie Hizi Haki Zetu Wenyewe"