mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,843
- 3,128
Ni Kweli aim not a risk at all, always!
Mkuu umenichekesha Sana Jioni hii !Hapa JF sijawahi kuona uzi wa ovyo namna hii. Albadiri inakutafuna na mimi nasema wacha ikutafune tu mana hakuna namna
Umemaliza kaka,kamata BALIMI bardiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ntalipaInaonekana hata tafsiri halisi ya upinzani huijui ndugu yangu. Hapa unaonekana kulewa na mahaba ya kichama kama siyo kwamba na wewe umeshapewa rushwa kuyaandika haya yasiyo na mashiko. Kwa taarifa yako, kazi ya upinzani popote duniani ni kutafuta loop hole za chama kilichoko madarakani haijalishi ni ndogo kiasi gani. Upinzani huwa ni jicho la pili. Tatizo walililo nalo wapinzani hapa Tanzania ni kwamba watawala hawataki kukosolewa.
Hivi kwa akili yako ulitaka upinzani ukubaliane na serikali kwamba ndege haijakamatwa ilhali imekamatwa? Ulitaka wakubaliane na serikali kwamba tuvunje mikataba ya wawekezaji kwa kuwa tu kwa kufanya hivyo ndo unaonesha uzalendo hata kama baadae utatakiwa kulipa mamilioni ya dola kama fidia? Nafikiri kuna watu wanatazama mambo kimahaba na hao ndo kundi lile linaloshangilia kupigwa risasi kwa Mh. Lisu, ndo kundi linaloshangilia kukamatwa kwa viongozi na wabunge wa upinzani wanaosema ukweli, ni kundi linaloshangilia mabango ya kuongeza muda wa ubunge huku wao wakiwa wamekaa chini ya nguzo za umeme wakiomba wapita njia wawape hela ya kula mchana eti "hali ngumu!!"
Cha kusikitisha, kama wapinzani wanayoyafanya ni kutetea wahujumu uchumi mbona msukuma amepandishwa mahakamani wakati anamsaidia rais kupambana na wezi wa raslimali? Cha ajabu, hakuna ambaye ameandika chochote kupongeza jeshi la polisi kwa kuwakamata madiwani na Msukuma. Unajua tafsiri yake? Kabla hujaandika chochote tafakari kwanza...Pen Down!
hamuwezi kuingia hata kwa dawa zaid ya kupoteza idadi ya viti bungeni
Inawezekana hujamfuatilia huyo Lisu wako na wala hajapewa dhamana ya kusimamia kodi za hii nchiBaada ya kushindwa kufanya kilichosahihi mmekuja na porojo.Kubalini ndiyo mliyoarrange wale waliomrushia risasi Lissu.
To many of us Lissu is real a role model of Mzalendo.Wengine wote ni wachumia tumbo.
Wanajifanya wanaumia sana kumbe wapigaji tu.Tumeona Kivuko Kibovu kikosa maelezo,International airport pesa zinapigwa tu kisingizio maendeleo kumbe mnaendeleza matumbo yenu.
Hakuna ndani ya CCM mwenye moral authority ya kujiita MZALENDO ndiyo sababu mnatumia SMG badala ya hoja.
Miaka 55 CCM ilichoweza kufanya na kufanikiwa ni MAUAJI,UTEKAJI na UTESAJI.
Hivi nyie wakina dada na akina kaka poa mnaoandika kuikashifu CCM na rais wetu Magufuli kwa kazi anayopiga ya kupambana na wezi wa rasilimali za nchi hii mko upande upi wa vyama? Sijawaelewa kabisa unless mniambie hamuungi mkono chama chochote cha siasa nitawaelewa. Lakini kama mko kwenye vyama vilivyopo tanzania basi lazima mtakuwa mna utindio wa ubongo si bure. Na albadir yenu itawabomoa zaidi safari hii.
Lakini pamoja na yote hayo Magufuli hajawahi kusema kuwa CCM ni safi hata siku moja na bado anapambana na wana ccm wenzake waovu kama wale walioko CDM, CUF n.k.
Kwahiyo msitake kujifanya kilasiku kukosoa tu bali mjifunze pia kupongeza.
Niwatakia biashara njema naona giza ndo limeanza hili.
Habari wakuu,siku zote tunajua kazi kuu ya upinzani nchi yoyote ni kuichallenge serikali katika maendeleo sio kukwamisha maendeleo,tunajua wazi dhamira ya kuanzishwa kwa vyama vingi ni kuleta hoja mbadala zenye lengo la kukuza uchumi wetu sio kudidimiza uchumi wetu, kama tunavyoona sasa wapinzani wakiomba tususiwe na jumuiya za kimataifa.
Wapinzani wanatakiwa wapinge rushwa sio kuwa maagent wa wala rushwa.kama tunavyoona sasa wanavyowatetea wala rushwa na wahujumu uchumi
Upinzani wa kweli hautakiwi kuendeshwa kwa matukio bali kwa hoja na sera kwa vitendo mtawafanyia nini watanzania mkiaminiwa kwa kuleta maendeleo kwenye majimbo mitaa na halmashauri zao na si kwa uwezo wa kuropoka na kutukana viongozi wa serikali kama tunavyoshuhudia sasa
Kiukweli katika maisha yangu na dunia kwa ujumla sijawahi kuona wala kusikia upinzani wa hovyo zaidi kama naouona kipindi hichi Tanzania.
Subiri waporosha matusi waje, ni hoja nzuri sana kwa wananchi wazalendo....
Tatizo wapinzani mkiambiwa ukwel hamtaki kusikia wanannchi tumewachoka badilikeni kwa hoja nyepesi za matukio ikulu hamuwezi kuingia hata kwa dawa zaid ya kupoteza idadi ya viti bungeni
mafisadi wamehama ccm wameenda kujificha cdm mfano EL na sumayeKweli mwenye uz ni tahira Kama sio mpumbavu wa kupitiliza, ufisad ndani yanchii hii umeletwa na wapinzani?, huyo anaejvisha ngoz ya binadam kumbe mbwa mwitu si alikuwepo bungeni wakat wapinzani wanalia na mikataba feki aliwahi kuunga mkono wapinzani katka kutetea raslmali?. Hakuna kipya ndani ya kijani wote wapumbavu kupitiliza na ww mpumbavu Mara sabini
lowassa na sumayeHivi katika kipindi cha miaka55 mliyo kaa madarakani ulishawahi kusikia ufisadi alaf akahusishwa mpinzani????? Nadhani nimuda wakuweka SMG zenu pembeni ili tuanze kubishana kwa hoja
Albadili haijawahi kumuacha mtu salama boss.Mkuu umenichekesha Sana Jioni hii !