Sijawahi kushuhudia wapinzani wa aina hii katika maisha yangu

Inaonekana hata tafsiri halisi ya upinzani huijui ndugu yangu. Hapa unaonekana kulewa na mahaba ya kichama kama siyo kwamba na wewe umeshapewa rushwa kuyaandika haya yasiyo na mashiko. Kwa taarifa yako, kazi ya upinzani popote duniani ni kutafuta loop hole za chama kilichoko madarakani haijalishi ni ndogo kiasi gani. Upinzani huwa ni jicho la pili. Tatizo walililo nalo wapinzani hapa Tanzania ni kwamba watawala hawataki kukosolewa. Hivi kwa akili yako ulitaka upinzani ukubaliane na serikali kwamba ndege haijakamatwa ilhali imekamatwa? Ulitaka wakubaliane na serikali kwamba tuvunje mikataba ya wawekezaji kwa kuwa tu kwa kufanya hivyo ndo unaonesha uzalendo hata kama baadae utatakiwa kulipa mamilioni ya dola kama fidia? Nafikiri kuna watu wanatazama mambo kimahaba na hao ndo kundi lile linaloshangilia kupigwa risasi kwa Mh. Lisu, ndo kundi linaloshangilia kukamatwa kwa viongozi na wabunge wa upinzani wanaosema ukweli, ni kundi linaloshangilia mabango ya kuongeza muda wa ubunge huku wao wakiwa wamekaa chini ya nguzo za umeme wakiomba wapita njia wawape hela ya kula mchana eti "hali ngumu!!" Cha kusikitisha, kama wapinzani wanayoyafanya ni kutetea wahujumu uchumi mbona msukuma amepandishwa mahakamani wakati anamsaidia rais kupambana na wezi wa raslimali? Cha ajabu, hakuna ambaye ameandika chochote kupongeza jeshi la polisi kwa kuwakamata madiwani na Msukuma. Unajua tafsiri yake? Kabla hujaandika chochote tafakari kwanza...Pen Down!

Yaani hii mijitu ya CCM inakera mpa abasi inadhani watanzania wote ni wapumbavu kwa sababu wao ni wapumbavu na wanapenda kupiga makofi hata kwenye upumbavu.
 
Usijali watatulizwa tu..mwanaume yupo kazini..

Mwanaume mwenye ndiyo huyo wa Kivuko Kibovu au Mwanaume yupi??Mwanaume asiye na Moral Authority ya kukemea maovu.

Kawadanganyeni wapuuzi wa Lumumba
 
Habari wakuu,siku zote tunajua kazi kuu ya upinzani nchi yoyote ni kuichallenge serikali katika maendeleo sio kukwamisha maendeleo,tunajua wazi dhamira ya kuanzishwa kwa vyama vingi ni kuleta hoja mbadala zenye lengo la kukuza uchumi wetu sio kudidimiza uchumi wetu, kama tunavyoona sasa wapinzani wakiomba tususiwe na jumuiya za kimataifa.

Wapinzani wanatakiwa wapinge rushwa sio kuwa maagent wa wala rushwa.kama tunavyoona sasa wanavyowatetea wala rushwa na wahujumu uchumi

Upinzani wa kweli hautakiwi kuendeshwa kwa matukio bali kwa hoja na sera kwa vitendo mtawafanyia nini watanzania mkiaminiwa kwa kuleta maendeleo kwenye majimbo mitaa na halmashauri zao na si kwa uwezo wa kuropoka na kutukana viongozi wa serikali kama tunavyoshuhudia sasa

Kiukweli katika maisha yangu na dunia kwa ujumla sijawahi kuona wala kusikia upinzani wa hovyo zaidi kama naouona kipindi hichi Tanzania.

Ulitakiwa kusoma makala ya Ansbert Ngurumo kwenye gazeti la jana la Mwanahalisi, ili uone rekodi ya mtu mmoja ambaye amepambana ki kwelikweli na wezi wa mali zetu, ndani na nje ya nchi, kwa miaka nenda miaka rudi.

Huyo Magufuli amekuwa serikalini kwa zaidi ya miaka 20, na mikataba mibovu imepitishwa na baraza la mawaziri na yeye akiwa mmojawapo. na kuna wizi na ufisadi mkubwa sana ambao yeye binafsi ameusimamia: UPORAJI WA NYUMBA ZA SERIKALI.

Tundu Lissu amekuwa akipigana miaka yote hii, halafu leo watu wanaibuka na kujifanya wao ndio wana uchungu sana na nchi hii, lakini sasa badala ya kuongoza nchi katika mapambano ya kweli ya kuokoa mali zetu, tunapelekwa pelekwa tu kisongombingo, matokeo yake sheria za hovyo zinapitishwa ambazo zinapingana na zina contradictions. watu wanawatahadharisha jamani huko siko, sheria kama hizi hazipitishwi ghafla namna hiyo, lakini wapi!

Inauma lakini kuwa na watu kama wewe ambao mnaongea propaganda tu tena zinazokera, hivi ukweli hamuuoni???
 
Hao wazalendo walio ndani ya CCM ni wapi??
1.Hawa walionunua Kivuko kibovu (cha mwaka 1948) kwa bilioni nane??
2.Waliopistisha Sheria mbovu za madini na gas?
3.Waliosainisha Mikataba mibovu ya madini na gas?
4.waliojenga barabara substandard
5.Hawa wanaoua,kuteka na kutesa Raia kwa sababu ya kukosolewa.
6.Wezi wa Raslimali zetu??
Unaongelea wazalendo wepi??Msitake kuendelea kufikiri watanzania ni wapumbavu kila siku,mjue mnakera sana,tena mwambieni anayewatuma kuandika utumbo mitandaoni aache mara moja.

Tanzania miaka 55 ya Uhuru chini ya CCM bado ni masikini ya kutupwa ilhali watawala matajiri mpaka wanakufuru

Unaongelea historia ya chama, cha kushangaza hao unaowasema wapo nanyi huko kwenye meza yenu; Lowasa, Sumaye

Sijui kama ulikuwa umezaliwa wakati wa single party, kwahiyo miaka 55 kama ulikuwa duniani wote tulikuwa chama kimoja kwa wakati fulani mpaka mid 1980s wakati pluralism ilipoingia Afrika na nchini kwahiyo usiongelee kitu usichofahamu
 
Habari wakuu,siku zote tunajua kazi kuu ya upinzani nchi yoyote ni kuichallenge serikali katika maendeleo sio kukwamisha maendeleo,tunajua wazi dhamira ya kuanzishwa kwa vyama vingi ni kuleta hoja mbadala zenye lengo la kukuza uchumi wetu sio kudidimiza uchumi wetu, kama tunavyoona sasa wapinzani wakiomba tususiwe na jumuiya za kimataifa.

Wapinzani wanatakiwa wapinge rushwa sio kuwa maagent wa wala rushwa.kama tunavyoona sasa wanavyowatetea wala rushwa na wahujumu uchumi

Upinzani wa kweli hautakiwi kuendeshwa kwa matukio bali kwa hoja na sera kwa vitendo mtawafanyia nini watanzania mkiaminiwa kwa kuleta maendeleo kwenye majimbo mitaa na halmashauri zao na si kwa uwezo wa kuropoka na kutukana viongozi wa serikali kama tunavyoshuhudia sasa

Kiukweli katika maisha yangu na dunia kwa ujumla sijawahi kuona wala kusikia upinzani wa hovyo zaidi kama naouona kipindi hichi Tanzania.

Lengo kuu na namba moja la chama chochote cha siasa duniani pote pamoja na CCM yetu pendwa ni kushika dola kwanza ili kitekeleze mipango yake na si vinginevyo kama unavyo jaribu kudanganya hapo juu!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Unaongelea historia, cha kushangaza hao unaowasema wapo nanyi huko kwenye meza yenu; Lowasa, Sumaye

Hata huko wako 99% ya wanachama wa CCM ni wezi wa Raslimali zetu kuanzia top to the bottom.

Hakuna cha Sumaye wala Lowassa,jueni moja tunawaelewa vyema.Majizi ya RASLIMALI zetu yamejazana huko wengine wameamua kugawa Kivuko ati tusikiongelee bilioni nane zote zikaenda kwenye uchaguzi.Hamkuna msafi huko zaidi ya JKN wengine wote walio baki ni wale wale.
 
Habari wakuu,siku zote tunajua kazi kuu ya upinzani nchi yoyote ni kuichallenge serikali katika maendeleo sio kukwamisha maendeleo,tunajua wazi dhamira ya kuanzishwa kwa vyama vingi ni kuleta hoja mbadala zenye lengo la kukuza uchumi wetu sio kudidimiza uchumi wetu, kama tunavyoona sasa wapinzani wakiomba tususiwe na jumuiya za kimataifa.

Wapinzani wanatakiwa wapinge rushwa sio kuwa maagent wa wala rushwa.kama tunavyoona sasa wanavyowatetea wala rushwa na wahujumu uchumi

Upinzani wa kweli hautakiwi kuendeshwa kwa matukio bali kwa hoja na sera kwa vitendo mtawafanyia nini watanzania mkiaminiwa kwa kuleta maendeleo kwenye majimbo mitaa na halmashauri zao na si kwa uwezo wa kuropoka na kutukana viongozi wa serikali kama tunavyoshuhudia sasa

Kiukweli katika maisha yangu na dunia kwa ujumla sijawahi kuona wala kusikia upinzani wa hovyo zaidi kama naouona kipindi hichi Tanzania.

Too cheap argument!! Kwanza yafaa uwataje hao maagent wa rushwa /wahujumu uchumi vinginevyo unapiga vuvuzela! Ikiwa kazi ya upinzani ni kupinga rushwa kazi ya chama tawala ni nini... Kuwalea, kuwafuga na kuwalinda wala rushwa mpaka upinzani uingilie kati (hapa unaikubali kazi ya wapinzani ila na kufumbia macho uozo wa chama dola)

Na kama unamzungumzia Manji (uhujumu uchumi) unaweza kutueleza kwa kina ni kwa nini DPP hana nia ya kuendelea na kesi ile...?????
 
...
Kiukweli katika maisha yangu na dunia kwa ujumla sijawahi kuona wala kusikia upinzani wa hovyo zaidi kama naouona kipindi hichi Tanzania.
Kwani umefanikiwa kuishi nchi ngapi za hapa duniani tofauti na Tanzania? :D:D:D
 
Sasa hivi hoja imekuwa Lissu lissu,michango michango,mbona Kibiti hamkushadadia hivi?au kwa vile nyie mpo dar tulioteseka ni sisi?Au waliokufa huku ni wanyama?Acheni ubaguzi watu wa Dar!
 
Habari wakuu,siku zote tunajua kazi kuu ya upinzani nchi yoyote ni kuichallenge serikali katika maendeleo sio kukwamisha maendeleo,tunajua wazi dhamira ya kuanzishwa kwa vyama vingi ni kuleta hoja mbadala zenye lengo la kukuza uchumi wetu sio kudidimiza uchumi wetu, kama tunavyoona sasa wapinzani wakiomba tususiwe na jumuiya za kimataifa.

Wapinzani wanatakiwa wapinge rushwa sio kuwa maagent wa wala rushwa.kama tunavyoona sasa wanavyowatetea wala rushwa na wahujumu uchumi

Upinzani wa kweli hautakiwi kuendeshwa kwa matukio bali kwa hoja na sera kwa vitendo mtawafanyia nini watanzania mkiaminiwa kwa kuleta maendeleo kwenye majimbo mitaa na halmashauri zao na si kwa uwezo wa kuropoka na kutukana viongozi wa serikali kama tunavyoshuhudia sasa

Kiukweli katika maisha yangu na dunia kwa ujumla sijawahi kuona wala kusikia upinzani wa hovyo zaidi kama naouona kipindi hichi Tanzania.

Kumbe humu we ni njuga wa juzi tu, ndo maana unasakurasakura kama ndege
 
Habari wakuu,siku zote tunajua kazi kuu ya upinzani nchi yoyote ni kuichallenge serikali katika maendeleo sio kukwamisha maendeleo,tunajua wazi dhamira ya kuanzishwa kwa vyama vingi ni kuleta hoja mbadala zenye lengo la kukuza uchumi wetu sio kudidimiza uchumi wetu, kama tunavyoona sasa wapinzani wakiomba tususiwe na jumuiya za kimataifa.

Wapinzani wanatakiwa wapinge rushwa sio kuwa maagent wa wala rushwa.kama tunavyoona sasa wanavyowatetea wala rushwa na wahujumu uchumi

Upinzani wa kweli hautakiwi kuendeshwa kwa matukio bali kwa hoja na sera kwa vitendo mtawafanyia nini watanzania mkiaminiwa kwa kuleta maendeleo kwenye majimbo mitaa na halmashauri zao na si kwa uwezo wa kuropoka na kutukana viongozi wa serikali kama tunavyoshuhudia sasa

Kiukweli katika maisha yangu na dunia kwa ujumla sijawahi kuona wala kusikia upinzani wa hovyo zaidi kama naouona kipindi hichi Tanzania.

Mimi sijawahi kuona wa Tanzania na watu wa hovyo kama wa lumumba!

Wewe unadai wapinzani walete maendeleo kwenye majimbo na mitaa yao ! Kwani wapinzani wanakusanya kodi?

Umesema wapinzani wajenge hoja na kama sijakosea watangaze hoja zao kwa wananchi!? Unataka watangaze kupitia forum gani wakati sizonje amekataza na wapinzani wanakamatwa hata wakifanya mikutano ya ndani? Huku pole pole akizurura mikoani at anakagua utekelezaji wa ilani? Yeye ni nani humu nchini?

Umesema, wapinzani wanatetea wezi na wala rushwa na wahujumu uchumi! Hujielewi wewe! Mlianzisha mahakama ya mafisadi kwa mbwembwe mkidhani tatizo ni mahakama hamkujua kuwa mifumo ya utawala wa nchi hii ndio tatizo! Leo ni miaka miwili sasa tangu awamu hii ya ukurupukaji ingie madarakani!

Tutajie fisadi yeyote ambaye amepelekwa kwenye hiyo mahakama na ambao wamepatikana na hatia mpaka sasa? Mnashughurika na kina manji huku mkiacha kina ngeleja nje japo wamejitaja hadharani kuwa wezi.? Unamweka mtu ndani bila ushahidi kisha anaachiliwa afu useme unapambana na rushwa ujuha!

Acheni kusifiana ujinga! Wananchi huku vijijini wanauliza zile million 50 mlizoahidi vipi ?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ila umeshawahi kumshuhudia mtu mwenye chuki za kutisha, visasi na vitisho asiyetaka kushaurika na yeyote kujiona yeye ndiye yeye, kuwatukana Watanzania na hata wastaafu na kutumia mtutu wa bunduki ili kuanza kuwaua wapinzani pia mwenye kudharau katiba ya nchi, Bunge na sheria za nchi pia! Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake.

Habari wakuu,siku zote tunajua kazi kuu ya upinzani nchi yoyote ni kuichallenge serikali katika maendeleo sio kukwamisha maendeleo,tunajua wazi dhamira ya kuanzishwa kwa vyama vingi ni kuleta hoja mbadala zenye lengo la kukuza uchumi wetu sio kudidimiza uchumi wetu, kama tunavyoona sasa wapinzani wakiomba tususiwe na jumuiya za kimataifa.

Wapinzani wanatakiwa wapinge rushwa sio kuwa maagent wa wala rushwa.kama tunavyoona sasa wanavyowatetea wala rushwa na wahujumu uchumi

Upinzani wa kweli hautakiwi kuendeshwa kwa matukio bali kwa hoja na sera kwa vitendo mtawafanyia nini watanzania mkiaminiwa kwa kuleta maendeleo kwenye majimbo mitaa na halmashauri zao na si kwa uwezo wa kuropoka na kutukana viongozi wa serikali kama tunavyoshuhudia sasa

Kiukweli katika maisha yangu na dunia kwa ujumla sijawahi kuona wala kusikia upinzani wa hovyo zaidi kama naouona kipindi hichi Tanzania.
 
Na mimi katika uhai wangu wote hapa duniani sijawahi kuushuhudia upinzani mkali unaowalaza watawala na viatu kama wa sasa hapa kwetu. Silaha pekee iliyobaki kupambana nao ni SMG tu. Hoja zimeshindikana.
 
Habari wakuu,siku zote tunajua kazi kuu ya upinzani nchi yoyote ni kuichallenge serikali katika maendeleo sio kukwamisha maendeleo,tunajua wazi dhamira ya kuanzishwa kwa vyama vingi ni kuleta hoja mbadala zenye lengo la kukuza uchumi wetu sio kudidimiza uchumi wetu, kama tunavyoona sasa wapinzani wakiomba tususiwe na jumuiya za kimataifa.

Wapinzani wanatakiwa wapinge rushwa sio kuwa maagent wa wala rushwa.kama tunavyoona sasa wanavyowatetea wala rushwa na wahujumu uchumi

Upinzani wa kweli hautakiwi kuendeshwa kwa matukio bali kwa hoja na sera kwa vitendo mtawafanyia nini watanzania mkiaminiwa kwa kuleta maendeleo kwenye majimbo mitaa na halmashauri zao na si kwa uwezo wa kuropoka na kutukana viongozi wa serikali kama tunavyoshuhudia sasa

Kiukweli katika maisha yangu na dunia kwa ujumla sijawahi kuona wala kusikia upinzani wa hovyo zaidi kama naouona kipindi hichi Tanzania.
Hao si wapinzani ni wahuni wachache waliojificha kwenye siasa na demokrasia
 
Habari wakuu,siku zote tunajua kazi kuu ya upinzani nchi yoyote ni kuichallenge serikali katika maendeleo sio kukwamisha maendeleo,tunajua wazi dhamira ya kuanzishwa kwa vyama vingi ni kuleta hoja mbadala zenye lengo la kukuza uchumi wetu sio kudidimiza uchumi wetu, kama tunavyoona sasa wapinzani wakiomba tususiwe na jumuiya za kimataifa.

Wapinzani wanatakiwa wapinge rushwa sio kuwa maagent wa wala rushwa.kama tunavyoona sasa wanavyowatetea wala rushwa na wahujumu uchumi

Upinzani wa kweli hautakiwi kuendeshwa kwa matukio bali kwa hoja na sera kwa vitendo mtawafanyia nini watanzania mkiaminiwa kwa kuleta maendeleo kwenye majimbo mitaa na halmashauri zao na si kwa uwezo wa kuropoka na kutukana viongozi wa serikali kama tunavyoshuhudia sasa

Kiukweli katika maisha yangu na dunia kwa ujumla sijawahi kuona wala kusikia upinzani wa hovyo zaidi kama naouona kipindi hichi Tanzania.
Waambie chama tawala wasiibe rasilimali za umma ili hao wapinzani wakose hoja. Nadhani hii ndo suluhisho. Sio kulaumu wasiohusika.
 
Hv mafisadi wanayotetea upinzani yapo chama gani??Serikali imechukua hatua gani kwa mafisadi ya EPA,ESCROW mpk sasa??ntarekebishwa kama nipo wrong
 
Back
Top Bottom