kopo la chumvi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 256
- 459
Ndugu zangu tangu naanza uchumba na mke wangu adi Sasa tuna miaka 3 kwenye ndoa na mtoto mmoja,,sijawahi kusherekea nae siku yake ya kuzaliwa Kama ilivo apo juu.
Mara nyingi amekuwa akituunga mkono sisi yaani
MIMI
MDOGO WAKE (shemeji) &
MTOTO WETU
Ambao wote tumezaliwa mwezi,,tarehe moja yaani 12.6.,,,
Naomba ushauri wenu ndugu zangu nifanye surprise gani kwake? Adi Sasa sijamwambia chochote na wala hana mpango wowote wa sherehe yake ya kuzaliwa
Karibu mnipe la kufanya
Mara nyingi amekuwa akituunga mkono sisi yaani
MIMI
MDOGO WAKE (shemeji) &
MTOTO WETU
Ambao wote tumezaliwa mwezi,,tarehe moja yaani 12.6.,,,
Naomba ushauri wenu ndugu zangu nifanye surprise gani kwake? Adi Sasa sijamwambia chochote na wala hana mpango wowote wa sherehe yake ya kuzaliwa
Karibu mnipe la kufanya