Sijawahi kupanda ndege, Mambo gani ya muhimu ya kuzingatia ukisafiri na ndege kwa mara ya kwanza?

Jamani kubadili ndege mara 3 kwenda nchi fulani mbona Jambo la kawaida Sana, wala hakuna cha ajabu hapo. But inabidi uwe mzoefu wa safari za ndege.
Mfano Mimi nafanya kazi Saudi Arabia, maeneo yanaitwa Duba ni karibu kidogo na Jordan na Israel. Nikipanda ndege bongo naanzia Qatar, Bahrain or Dubai kutegemea na ndege gani. Hapo napanda ndege ingine mpaka Jeddah. Halafu napanda ingine mpaka Tarbuk. Hapo nachukuliwa na usafiri wagari kama km 200 hivi mpaka kituo cha kazi.
So sioni ajabu ya kupanda ndege 3 hio IPO tena Sana Tu.

Sent from my VIE-L09 using JamiiForums mobile app
sisi wazee wa cheapest flights swala la 3 stops ni swala la kuvutia kabisa (yani fesh tu,tutafanyeje sasa ndo uwezo umeruhusu hivyo), wazee wa best deals mambo ya kusimama simama kukaa sjui 8 hrs unaconnect flight hawatakagi kusikia, mtu unatoka tu hapo johannesburg kuja dar lkn una stop 3, johannesburg to lusaka, lusaka to kigali, kigali to kilimamnjaro, kilimanjaro to dsm. safari ya masaa matatu tu na dk zake mtu unatumia masaa 15+ (flying + connecting time)
 
Ushauri kwako na MTU yeyote mwengine anayetarajia kusafiri lakini hana info za kutisha.. Make YouTube your best friend... Mimi ilinisaidia sana.. Search videos za information yoyote unayotaka kujua utapata very useful tips ambazo zitakusaidia sana.. Mfano: " how to change flights". " how to check in". "First time flying tips". Utajifunza sana..
Muhimu..fata maelekezo, fata alama utapokuwa katika international airports kubwa kubwa ie.. Schiphol.. Ukikwama usiigope kuuliza staff yeyote Wa airport, they are usually very supportive and helpful.. . I understand the hussle of changing three flights.. U will make it!!
Safari njema!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm pia niliokumbana na hiyo ya kutumia flights tatu aisee ni usumbufu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekosea mkuu hujasafiri kitambo au unaongelea safari ya Chato? hizo DK 45 mbona ni miaka Ya kabla ya Osama bin Laden, siku hizi check in time ni masaa 3 hivi kabla, wakukague mpaka pumbu kama huna plastic bombs na dawa za kulevya!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha Sina mbavu
Airport ya Atatürk ndio ukaguzi niliuona wa kisumbufu Ila pâle Abu Dhabi fresh hasa ukiwa na ndege zao za Emirates au Etihad

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi mpokea m-Nigeria mfuko wa D-Duty free, ulikuwa umesukwasukwa na gundi nene.
Kaka wa pembeni yangu akasema mrudishie haraka mfuko wake na usithubutu kumsaidia mtu mzigo ili kupita mlangoni.
Nilimrudishia haraka mzigo, m-Nigeria akasonya.....akasepa na mzigo wake.

Mpaka lep najiuliza, why???
Wa Nigeria Ni wapuuz nimewahi watoa baru Mara kibao wanadhan mm mshamba unaweza kuta ndani ya huo mzigo Kuna madawa ya kulevya etc kwahiyo anataka kukutumia Kama uchochoro ukibambwa msala unakukuta wew usifanye huruma kwa kumsaidia mtu mzigo ktk ndege utakwisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sisi wazee wa cheapest flights swala la 3 stops ni swala la kuvutia kabisa (yani fesh tu,tutafanyeje sasa ndo uwezo umeruhusu hivyo), wazee wa best deals mambo ya kusimama simama kukaa sjui 8 hrs unaconnect flight hawatakagi kusikia, mtu unatoka tu hapo johannesburg kuja dar lkn una stop 3, johannesburg to lusaka, lusaka to kigali, kigali to kilimamnjaro, kilimanjaro to dsm. safari ya masaa matatu tu na dk zake mtu unatumia masaa 15+ (flying + connecting time)


😂😂😂😂😂 mpaka Masaa 55 Joburg to Tanzania
 
Back
Top Bottom