johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,763
Wakiwa wanashuka kwenye karandinga utawaona wana furaha na amani hata machoni tu
Wakiwa ndani ya mahakama wanakuwa Watulivu na Wasikivu sana wakifuatilia kila hatua ya mwenendo wa kesi.
Wakati wa kuondoka huwapungia mikono ya " amani" Wananchi waliofika mahakamani kufuatilia kesi yao
Hakika ujasiri na Upendo huu unanikumbusha nyakati za JKT.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Wakiwa ndani ya mahakama wanakuwa Watulivu na Wasikivu sana wakifuatilia kila hatua ya mwenendo wa kesi.
Wakati wa kuondoka huwapungia mikono ya " amani" Wananchi waliofika mahakamani kufuatilia kesi yao
Hakika ujasiri na Upendo huu unanikumbusha nyakati za JKT.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!