Sijawahi kuona mkoa wa Kagera unakosekana katika 10 bora ya matokeo yoyote ya elimu Tanzania

Sio kwamba Watu au Wanafunzi wa Kagera wana akili sana kuliko wengine lakini ni juhudi za Wananchi, Walimu na Wazazi hasa kutathmini elimu kwa mtoto kuliko kitu chochote kile

Ukichungulia vyuo vikuu asilimia kubwa ya Wanafunzi wanatoka mkoa huu, hii yote ni kwa sababu ya ubora wa elimu na morali iliyopo kwa Walimu wa mkoa huu.

Sawa utamaduni wa kupenda elimu umekuwepo sana mkoa huu tangu enzi za machief au abakama lakini hio sio sababu kuwa mkoa ndo utoe wasomi wote hivyo, hii yote ni ubora wa elimu, shule zilivyopo katika mkoa huu.

Mikoa mingine nendeni Kagera mkajifunze hasa wilaya kuu ya Bukoba. Na kama unataka mtoto wake afaulu vizuri na apate elimu nzuri mpeleke Kagera maana ni mazingira mazuri sana ya kusomea, ndo maana hata Wahaya wengi waliopo Dar utaona watoto wake wapo katika shule za Kagera ambazo nyingi zinafanya vizuri na hata za Serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
ENDELEENI KUKARIRI TU, Tafuta mikoa yenye watu wasiojua kusoma unambie kagera ni ya ngapi.

Lakin pia zama za nshomile ilikuwa zamani ambapo maprofesa weng walikuwa wahaya na kubania wengine wasio wakagera ktk kupata uprofesa nk. Lakin pia watu hawa wanaongoza kwa cheating sn.

Pia kagera shule ni chache mno na idadi ya wahitimu ni ndogo sn ukilinganisha na mikoa mingine.

Nchi hii inawatu katk mikoa mingine walioenda shule weng, mf Kilimanjaro ( kumbuka walishakuwa na shule ngazi ya kata hata kabla ya 2005 na idadi ni kubwa kubwa ya ya wahitimu), Kigoma ina watu wenye akili sana, Ukerewe, Songea, nk na wanaongezeka kwa kasi hyo Kagare ni zaman hizo
 
Yaani umetafuta alipo muhaya ndio umetuletea hapa ahahaahahahahahahajajjajj umeona matatizo yenu , namna hii mtaendelea kuwa na misifa ya kijinga , lakini hamna kitu ,
We hata sielewi unabisha nini hebu tazama hayo matokeo
tapatalk_1546716448420.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ENDELEENI KUKARIRI TU, Tafuta mikoa yenye watu wasiojua kusoma unambie kagera ni ya ngapi.

Lakin pia zama za nshomile ilikuwa zamani ambapo maprofesa weng walikuwa wahaya na kubania wengine wasio wakagera ktk kupata uprofesa nk. Lakin pia watu hawa wanaongoza kwa cheating sn.

Pia kagera shule ni chache mno na idadi ya wahitimu ni ndogo sn ukilinganisha na mikoa mingine.

Nchi hii inawatu katk mikoa mingine walioenda shule weng, mf Kilimanjaro ( kumbuka walishakuwa na shule ngazi ya kata hata kabla ya 2005 na idadi ni kubwa kubwa ya ya wahitimu), Kigoma ina watu wenye akili sana, Ukerewe, Songea, nk na wanaongezeka kwa kasi hyo Kagare ni zaman hizo
Hebu angalia wanafunzi katika wilaya ya muleba kama hawazidi nusu ya mkoa wako huo unaosifia ? Na matokeo haya je halafu unaponiambia shule ni chache sikuelewi leta hizo data . sijaona data hata moja ya watu wa Kilimanjaro ni phorojo tu
tapatalk_1546723032098.jpeg
tapatalk_1546723020955.jpeg
tapatalk_1546716448420.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
eti wanaongoza kwa cheating!!! Umeonesha jinsi gani unaokoteza maneno kwa kuleta simple reason kama hii
ENDELEENI KUKARIRI TU, Tafuta mikoa yenye watu wasiojua kusoma unambie kagera ni ya ngapi.

Lakin pia zama za nshomile ilikuwa zamani ambapo maprofesa weng walikuwa wahaya na kubania wengine wasio wakagera ktk kupata uprofesa nk. Lakin pia watu hawa wanaongoza kwa cheating sn.

Pia kagera shule ni chache mno na idadi ya wahitimu ni ndogo sn ukilinganisha na mikoa mingine.

Nchi hii inawatu katk mikoa mingine walioenda shule weng, mf Kilimanjaro ( kumbuka walishakuwa na shule ngazi ya kata hata kabla ya 2005 na idadi ni kubwa kubwa ya ya wahitimu), Kigoma ina watu wenye akili sana, Ukerewe, Songea, nk na wanaongezeka kwa kasi hyo Kagare ni zaman hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jabali hira aliko kabwa mtume wa warabu umeshaona ni wadhifa!
Hadi uzi WETU adhimu umefungwa kwa ajili ya lugha yako chafu masudi
Sijawai kutoa lugha chafu , mimi ni mtu na heshima zangu, wazee kama wewe mnaozeeka vibaya ni janga , kama sio matusi basi mapicha ya mbwa Anakula mavi, ata kama mimi ni admin nafutilia mbali huo uzi
 
Sijawai kutoa lugha chafu , mimi ni mtu na heshima zangu, wazee kama wewe mnaozeeka vibaya ni janga , kama sio matusi basi mapicha ya mbwa Anakula mavi, ata kama mimi ni admin nafutilia mbali huo uzi

utajionaje mnyewe ni mtukanaji unafikiri wenyewe warabu wenye deen yao wakiona unampiga baba fatuma kila siku wanapenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ibrahim alikuwa muislamu unatuambia dini ya waarabu !! ahahahaahh Ahahahahhhahjajahajajajjajja , mbona watu wamempiga Mungu wa kichina halafu wewe unafuraia tu

masudi tusichafue hali ya hewa huku tafadhali sana niliesema hii deen ya warabu sio Mimi ni allah Mwenyewe
IMG_20181225_145910_137.jpg
na wenye deen yao
IMG_20181123_115106_972.jpg
wee unaunga unga eti uislamu umeanzia ibrahim muislamu wa kwanza baba fatuma
IMG_20190108_193208_206.jpg
wa pili bi khadija....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
masudi tusichafue hali ya hewa huku tafadhali sana niliesema hii deen ya warabu sio Mimi ni allah Mwenyewe View attachment 989446 na wenye deen yao View attachment 989449 wee unaunga unga eti uislamu umeanzia ibrahim muislamu wa kwanza baba fatuma View attachment 989453 wa pili bi khadija....

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuelewa Quran mdogo wangu, Mohamadi ni wa kwanza kwa nyakati zake, hii dini ilikuwepo Mohamadi ajazaliwa

QURAN 42:13
";Amekuamrisheni DINI ile ile aliyo muhusia Nuhu, na tuliyokufunulia wewe (Mohammed) ,na tuliyo wausia Ibrahim na musa na Isa, kwamba shikeni DINI wala msifarikiane";

umeona mambo sasa hii dini kitambo , sana ila kila Uma mtume wa uma ule anakuwa wakwanza kuhuisha, ata Musa alikua wa kwanza kuhuisha kwa zama zake
Halafu huyu wahabi kapewa utume vatican ? maana ndio nashangaa unavyomleta hapa kama vile ni chanzo rasmi cha uislamu unashangaza kweli, swali lingine kijana nikutoe tongotongo
 
Usitake battle ambayo mshindi anajulikana .najua kuwa Kilimanjaro nayo inafanya vzr kielimu .Sawa lakini mkoa huo huwezi linganisha kagera kielimu.anzisha nawe Uzi ukileta battle ya kuulinganisha mikoa miwili hapa tunaoongelea mkoa wa kagera na mafanikio yake kielimu.kwanini watu wa Kilimanjaro mnapenda Sana battle na hawa watu wa kagera ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe binafsi na familia yako unafaidika nini na Kilimanjaro au Kagera iwe ya kwanza, je vitu hivi vinaleta impact gani kwako? hao wanaoongoza kutoka Kilimanjaro waliwahi kukusaidia nini?
 
Nilitoa rai kuwa ntakapokuja na data naomba watu wasikimbie bali tuendelee kubishana kisayansi ( tukiwa na ushahidi na sio hisia)..

Kwa mujibu wa National Bureau of statistics Tanzania ukipenda iite nbs ( unaweza kuwatembelea kupitia tovuti yao nbs.go.tz) Mkoa wa Kagera umepitwa mbali sana na mkoa wa Kilimanjaro kwa kuwa na idadi kubwa ya watu wanaojua kusoma na kuandika.


Kwa maneno mengine ni hivii, pamoja na masifa na mbwembwe za wakazi wa mkoa wa kagera ni asilimia 76 tuu ya wakazi wa mkoani Kagera wanaojua kusoma na kuandika ili hali Asimilia 92 ya wakazi wa Mkoa wa kilimanjaro wanajua kusoma na kuandika !

Kwa mantiki hii , ni wazi mkoa wa kagera upo nyuma sana maana hata Tanga (wanalchukiliwa kirahisi kwenhe elimu)wamewapita kwa kuwa na asilimia 79 ya wanaojua kusoma na kuandika... hivyo basi kuilinganisha Kagera na Kilimanjaro kwenye suala la Elimu ni sawa na kulingamisha Mlima na kichuguu maana mkoa wa kilimanjaro unahitaji asilimia 8 tuu kutimiza asilimia 100 ya watu wanaojua kusoma kuandika wakati kwa Kagera inahitajika asilimia 24 nzima .

Kumbuka hapo tunazungumzia watu zaidi laki 5 hawajui kusoma wala kuandika katika mkoa wa wasomi ......

Inasikitishana sana kwa kweli maana huo muda wa kujisifu hapa wangetumia hata kufundisha wenzao kusoma na kuandika...

Mjisomee wenyewe hapo chini kwenye attachments.View attachment 2012_CENSUSVol3WALLCHART.pdf

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Tanzania_in_Figures_2015 (1).pdf
    4.1 MB · Views: 30
Huwezi kuelewa Quran mdogo wangu, Mohamadi ni wa kwanza kwa nyakati zake, hii dini ilikuwepo Mohamadi ajazaliwa

QURAN 42:13
";Amekuamrisheni DINI ile ile aliyo muhusia Nuhu, na tuliyokufunulia wewe (Mohammed) ,na tuliyo wausia Ibrahim na musa na Isa, kwamba shikeni DINI wala msifarikiane";

umeona mambo sasa hii dini kitambo , sana ila kila Uma mtume wa uma ule anakuwa wakwanza kuhuisha, ata Musa alikua wa kwanza kuhuisha kwa zama zake
Halafu huyu wahabi kapewa utume vatican ? maana ndio nashangaa unavyomleta hapa kama vile ni chanzo rasmi cha uislamu unashangaza kweli, swali lingine kijana nikutoe tongotongo

Hapa Amekuamrisheni deen ile ile anawaambia kina nani koloani ijibu hatuna haja ya jibu na masudi naona umeelewa mkulu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20181101_184031_130.jpg
    IMG_20181101_184031_130.jpg
    38.9 KB · Views: 25
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom