Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,559
😁😁😁😁Wameiba mtihani ili akipeleka mapendekezo ya miaka 7 ya urais aonekane ametoka kwa watu wenye akili
😁😁😁😁Wameiba mtihani ili akipeleka mapendekezo ya miaka 7 ya urais aonekane ametoka kwa watu wenye akili
Mtu akijisia ukweli sio kosa hata kidogo.pia huwezi kuta mzaramo anaitwa rutashobororwaBado jina si kigezo cha mtu kutoka sehemu au mkoa fulani hiyo ni hoja dhaifu sana. Wahaya mnapenda sifa sana aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure, naunga mkono hojaBado jina si kigezo cha mtu kutoka sehemu au mkoa fulani hiyo ni hoja dhaifu sana. Wahaya mnapenda sifa sana aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuuPamoja na kwamba tulitukanwa na mtawala juha ila Mungu anatusaidia watoto.wetu wa mkoa wa kagera wanatuwakilisha vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tupo Top 10 na last 10 tupo! Na Kilimanjaro je?? Au una makengeza??Kagera munatisha sio siri!
Yani Top Ten mupo na Last Ten pia mupo.
Kilimanjaro kwenye wa mwisho hawamo?? Nyamaza weweeeeeeeewanakuaga na shule 4 au 5... safar hii moja, afu pia katka shule zilizofanya vibaya wamo pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ukimuondoa huyo Atu, bado kuna wahaya wengine wawili. Kuna huyo Avith Kubani na huyo dada Kagemulo, na bado kuna top 10 ya boys kuna wa Katoke seminary ya KageraMi nilijua huyo Atughulile ni Mnyakyusa kwa sababu majina mengi ya wanyakyusa yanaanza na Atu...., Mfano atuganile, atupakishye, atupele n.k. Sikujua kama na nyie wahaya mnao akina Atu, kwa kinyakyusa Atughulile lina maana ya 'alitusubiri'. ila hilo jina jina lake la pili la Mlimba halijakaa kinyakyusa kabisa . Atughulile kwa kihaya lina maana gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza kila kitu! Eti unakuta mchaga anamshupalia mhaya kisa stend mbovu! Kwa hiyo mimi niache kujenga kijijini kwetu kwa baba na mama na ukoo wangu nijenge stendi ya mabasi!?Umefika Kagera lini ndugu,acha hizi conspiracy theories kuwa wahaya hawajengi kwao,
Fika sasa HV uone,
Stendi nzuri ya msamvu,au ile ya singida,imejengwa na nani?wenyeji wa mikoa hiyo?au ni strategic plan za serikali?
Arusha kuwa Geneva of Africa,ni nyie Wachaga,wameru,wamaasai mliosababisha?au sehemu hiyo imeendelea kutokana na rasilimali za kitalii zilizojaa hapo?
Mkisema Moshi ni kama Ulaya,je Wazaramu nao wajisifie kwamba ndio wameijenga Dar?
Dar ni ya wazaramo,ni jiji kubwa zuri,lenye miundombinu mizuri kuriko mikoa yote,je imejengwa na wazaramo?
Fikiria
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaskazini mmejenga nini?? Tofauti na kujenga nyumba zenu za kuishi?? Vilivyobaki ni serikali! Kuwekeza mnawekeza Moshi mjini na Arusha kama makabila mengine yanavyowekeza kwa kuwa pana utalii na mzunguko wa hela, sio kwa sababu ni nyumbani. Mbona wahaya kibao wameinvest hapo Moshi na Arusha na list naweza kukupatia!? Wamefanya makubwa sana hapo mjini wanawakimbiza wachaga? Mpo tu mmekalia sifa kwa kuwa wanawekeza kwenye miji ya mikoani kwenu ambapo hata sio kwenu kabisa maana nyie ni wa vijijin huko mawilayani!Kaskazini inajengwa na wakaskazini..
Dar inajengwa na wakaskazini..
Sisi hatuwezi kuja kujenga uko kwenu maana mumejaa misifa mingi na usomi wenu wa kukariri ili kupanda vidato wakati elimu ya maisha ni ZERO.
Na ndo maana nikasema muje Kilimanjàro mujifunze namna kujenga mji wenu maan hakueleweki wapi mjini wapi kijijini.
Ilo lipo wasi kabisa, kagera ni moja ya mikoa masikini Tanzania japo muna wasomi wengi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Blaza sisi tunaitaka Bukoba na Moshi maana ndo kwa wahaya na wachaga. Maana hawa hizi wilaya zisizo za wahaya zinatuletea upimbi kama wa wachaga! Leta matokeo ya Halmashauri hapaaaaaa!!
Kama ingekuwa makabila na watu wake ndo wajenge miji Yao sijui bukoba ingelinganishwa na nini hapa bongoUmemaliza kila kitu! Eti unakuta mchaga anamshupalia mhaya kisa stend mbovu! Kwa hiyo mimi niache kujenga kijijini kwetu kwa baba na mama na ukoo wangu nijenge stendi ya mabasi!?
Nadhani lawama zielekezwe kwa serikali na sio wahaya. Ndo maana kila siku nawaambia mhaya anakimbilia kujenga kwao huko alipozaliwa. Ukifika vijiji vya wahaya utaamini wanajenga kwao! Sasa unaniambia mimi eti barabara za mjjni Bukoba zina vumbi kwa hiyo mimi ni mzembe! Kuna vitu vinachekesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka hapa orodha ya wanafunzi waliofanya vibaya uone kama wa Kilimanjaro hayumo. Wekaaaaaaa. Ni mwendo wa makaratasi tu hapa hatutaki manenoKwamba katika shule zilizofanya vibaya wamo pia. ha ha ha
Idadi ya vituo/shule sio point mzee! Labda ungeongelea idadi ya wanafunzi ningekuelewa! Sasa kama shule ni nyingi na wanafunzi ni wachache utazilinganisha na shule chache zenye wanafunzi wengi!??Haya niwaambia Kilimanjaro waseme, na sio Wahaya waKagerA, angalia idadi ya vituo na mkoa ni wa ngapi..........View attachment 1004439
Sent using Jamii Forums mobile app
Weweeeeee! Ulishaona mhaya anayeitwa Mushi??Bado jina si kigezo cha mtu kutoka sehemu au mkoa fulani hiyo ni hoja dhaifu sana. Wahaya mnapenda sifa sana aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app