Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,612
- 1,410
- Thread starter
- #41
Hakunaga kitu kama hicho. Hakuna ke wa kutoa siri za hivyo. Usidanganywe.Jamaa hawez nifuck ka ww jmn , kidogo tu kachoka mambo hayo ata na mingine ya familia yako mzee
Hakunaga kitu kama hicho. Hakuna ke wa kutoa siri za hivyo. Usidanganywe.Jamaa hawez nifuck ka ww jmn , kidogo tu kachoka mambo hayo ata na mingine ya familia yako mzee
Hakunaga kitu kama hicho. Hakuna ke wa kutoa siri za hivyo. Usidanganywe.
Ndoa zina miiko, hata ukisema hakuna atakaekusaidia ni suala la kujadiliana na mume wako na kuwekana sawa pale ambapo pana mapungufuIla wanaume ndio tunaongoza kwa kutokua na siri, wanawake sijui wana moyo gani, wabarikiwe kwa kweli wanakufa na siri zenu nyie show mbovu....
Mara kibao sana mkuuUlishawah kutoka na mke wa ama demu wa mtu ama unabiasha tu mkuu
We ulikuwa unatoka vimalaya vilivyojishikiza kwenye kivuli cha mke au mchumba wa mtuUlishawah kutoka na mke wa ama demu wa mtu ama unabiasha tu mkuu
Kama yapi hayo ambayo kwako ni ya ajabu?!Kuna n'ke ya mtu huwa naikula inafunguka sana mambo ya chumbani had nashangaa,
We ulikuwa unatoka vimalaya vilivyojishikiza kwenye kivuli cha mke au mchumba wa mtu
Niwe na maajabu nimekuwa kaka kuona?Bas we nae ujue haukua na maajabu yoyote shombo tu
Kabisa, na wengi wanaona malaya. Mwanamke wa kawaida tu hawezi kuropoka huo upuuzi. Kwanza anaona haya vibaya sana.Wadangaji, wasio na misimamo na malaya kisingizio chao cha kuchepuka mara nyingi ni hizo. Wasiposema kwa wanawake wenzao basi kwa mwanaume anayechepuka nae.