Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,584
Sijawahi kuona brick-and-mortar store yoyote hapa Dar na Tanzania kwa ujumla, ya luxury brand yoyote ile.
Lakini huku mitaani utaona watu wamenyuka pamba za Moschino, kapelo za Gucci, mikanda ya Louis, suruali za Burberry, mikoba ya Ferragamo na kadhalika.
Kwa wadada ndo acha kabisa yaani. Siku hizi ni kawaida sana kuona wadada wamebeba mikoba ya Alexander Wang, YSL, Givenchy, Miu Miu, na kadhalika.
Ila kuna ka trend nimekaona hususan hapa Dar. Nako ni Gucci kuwa ndo brand inayobamba kwa sasa.
Naamini kabisa kuwa asilimia 99.99 ya wote wanaovaa Gucci hapa mjini [na hata luxury brands zingine] wanavaa bidhaa feki.
I mean, mtu unaishi uswazi huko ambako hata njia hakuna una ubavu wa kuweza kumudu Gucci halisi kweli?
Sidhani hata kidogo.
Ni muda muafaka sasa serikali pengine kupitia TBS kuanza ku crackdown vendors wote wanaojihusisha na biashara za bidhaa feki.
Cheki hizi Gucci za kitaa
Angalia label ya hii tisheti...
Lakini huku mitaani utaona watu wamenyuka pamba za Moschino, kapelo za Gucci, mikanda ya Louis, suruali za Burberry, mikoba ya Ferragamo na kadhalika.
Kwa wadada ndo acha kabisa yaani. Siku hizi ni kawaida sana kuona wadada wamebeba mikoba ya Alexander Wang, YSL, Givenchy, Miu Miu, na kadhalika.
Ila kuna ka trend nimekaona hususan hapa Dar. Nako ni Gucci kuwa ndo brand inayobamba kwa sasa.
Naamini kabisa kuwa asilimia 99.99 ya wote wanaovaa Gucci hapa mjini [na hata luxury brands zingine] wanavaa bidhaa feki.
I mean, mtu unaishi uswazi huko ambako hata njia hakuna una ubavu wa kuweza kumudu Gucci halisi kweli?
Sidhani hata kidogo.
Ni muda muafaka sasa serikali pengine kupitia TBS kuanza ku crackdown vendors wote wanaojihusisha na biashara za bidhaa feki.
Cheki hizi Gucci za kitaa
Angalia label ya hii tisheti...