Sijawahi kununua saa inayozidi Tsh elfu 3. Mnaonunua za laki mbili zinakuwa na nini cha zaidi?

Siku hizi umuhimu wa saa ni zaidi ya kuangalia muda...kuna saa maalumu kwa kupima afya mfano Mapigo ya moyo....kuna saa kwa ajri kufanyia mazoezi....kuna saa kwa ajiri ya usalama zina GPS..zina kamera...zina rekodi...na unaweza ukazi-link na simu za watu wako wa karibu na ukawa salama kabisa muda wote..kuna saa zinapima hali ya hewa kama mvua...joto. ..kutoka kwa jua na kuzama.
Alaf kuna watu tunapenda saa za thaman kama wanaopenda cheni za madini.
 

Attachments

  • 20200120_100100.jpg
    20200120_100100.jpg
    79.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20191130-172035_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20191130-172035_Samsung Internet.jpg
    100.3 KB · Views: 2
Ninatumia Swatch ni mwaka wa sita sasa huu haijawai kubadilika rangi au kufunguliwa na fundi, dukan inaanzia laki mbili na nusu. Hakuna cha zaida zaidi ya uimara na simple style. Na ata mtu akiiona hajui kama ni ya bei labda wafuatiliaji
 
Back
Top Bottom