Sijawahi kumuelewa Rachel Dangwa

Ila wanazengo, katika wambea wa insta ambao siwaelewagi ni huyu Rachel dangwa, sijui shoga yetu hazimo kichwani, yani mambo yake jamani na vitu anavyopost insta utasema huyu hamnazo, mwenzenu huwa nachekaga kila siku nikiona sura yake, yani anajifanya anachamba kuchamba kwenyewe hajui.

Nasikia yuko china sijui Ndo beki tatu huko , nguo zake Sasa akivaa kama yondo sister , hajui kuvaa utadhani yupo tandale kwa mtogole, akianza kuongea Sasa anajikuta kim kardashian sauti analegeza , kuongea English yenyewe hajui khaa, ila nampenda bure Rachel wangu na uchiz wakeView attachment 1094197
Mwandiko wake ni mchafu balaa
 
Sasa kama na huyu mnamshangaa na yule wa machupi yaliyondikwa I LOVE MC PILIPILI mnamchulia je? Yeye ni mfanyabiashara London sijui MC Pilipili alimkuna hata bado huwa sielewi
 
Wekeni picha zenu nanyi tuwaone kuliko kumnanga mwenzenu.
 
Chizi fresh mmoja hv aliibua danga la kijapani bongo likamweka kinyumba huko Japan. Ila lifestyle yake ni dhahiri bado anafanya mawindo😎
 
Ila wanazengo, katika wambea wa insta ambao siwaelewagi ni huyu Rachel dangwa, sijui shoga yetu hazimo kichwani, yani mambo yake jamani na vitu anavyopost insta utasema huyu hamnazo, mwenzenu huwa nachekaga kila siku nikiona sura yake, yani anajifanya anachamba kuchamba kwenyewe hajui.

Nasikia yuko china sijui Ndo beki tatu huko , nguo zake Sasa akivaa kama yondo sister , hajui kuvaa utadhani yupo tandale kwa mtogole, akianza kuongea Sasa anajikuta kim kardashian sauti analegeza , kuongea English yenyewe hajui khaa, ila nampenda bure Rachel wangu na uchiz wakeView attachment 1094197
Wewe unamzidi nn?
 
Ila wanazengo, katika wambea wa insta ambao siwaelewagi ni huyu Rachel dangwa, sijui shoga yetu hazimo kichwani, yani mambo yake jamani na vitu anavyopost insta utasema huyu hamnazo, mwenzenu huwa nachekaga kila siku nikiona sura yake, yani anajifanya anachamba kuchamba kwenyewe hajui.

Nasikia yuko china sijui Ndo beki tatu huko , nguo zake Sasa akivaa kama yondo sister , hajui kuvaa utadhani yupo tandale kwa mtogole, akianza kuongea Sasa anajikuta kim kardashian sauti analegeza , kuongea English yenyewe hajui khaa, ila nampenda bure Rachel wangu na uchiz wakeView attachment 1094197


Wajasiliamali wa miili ndivyo walivyo, madushe yamewaharibu akili....ni wa kumsamehe tu kwani kulishwa madushe ya aina tofauti tofauti kila kukicha nako kunachosha, si mnamuona alivyolegea?
 
sio kila mtu utamwelewa duniani wengine machizi wenzake ndo wanawaelewa
 
Back
Top Bottom