HMJ
Senior Member
- Apr 24, 2013
- 157
- 20
Nina miaka 20 but sijawahi kufanya mapenzi because huwa nawaogopa sana wanawake tangu nipo form one mpaka sasa.
Je, siwezi kupata madhara, na je umri gani kwa mtoto wa kiume unafaa kufanya mapenzi? Please nishaurini wakubwa, natamani kwel wanawake lakini naogopa UKIMWI!
Je, siwezi kupata madhara, na je umri gani kwa mtoto wa kiume unafaa kufanya mapenzi? Please nishaurini wakubwa, natamani kwel wanawake lakini naogopa UKIMWI!