KijanaHuru
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,822
- 2,290
Habari ya asubuhi,
Kwa mawazo na fikra zangu sijawahi amini kuna mke anaweza kuwa mwema au ukapata mke sahihi katika makundi haya
1. Wanaofanya Jogging
Yaani hapa aisee kama una mke anafanya huu udnunguazi wa makundi makundi jua hauko peke yako na hata ukipata mwanamke humu basi wakumaliza hamu zako tu ila hakuna malengo naye. Imani na hisia yangu haijawahi kabisa kukubaliana kama kunamwanamke anayekuwa anajielewa kwa kuheshimu utu wake akaingia jogging hamna kabisa kabisa kabisa, wala sitaki kuamini kabisaaa
NB:Isipokuwa anafanya jogging na mume wake tu wao binafsi au na mpenzi wake wao binafsi ila sio katika yale makundi makundi
2. Wanaoshabikia Mpira hadi wamejiunga vikundi vya kidedea na kila mechi wanaenda taifa
Yaani katika kundi hatari la wanawake ndio hawa shabiki wa mipira kindaki ndaki hadi wako kwenye vikundi vya kidedea na kila mechi lazima wazame uwanjani, yaaani hapana hapana tena hapana kwa herufi kubwa hata ingekuwaje hili jambo huyu mwanamke sina imani naye kabisa, wanaliwa kizembe sana na kuchezewa kizembe sana, mwanamke anayejiheshimu na kujali uutuwake sina imani anaweza kuwa katika kundi hili.
NB:Mwanamke anaweza akawa shabiki wa mpira kindaki ndaki ila uwanjani anaenda kwa mgongo wa mume wake au mtu wake na ushabiki wa mpira upo ndani kifamilia ila sio hadi kwenye videdea
3. Gym
Kuna hawa sasa wanaojifanya wanaenda gym kupunguza mwili nk yaani ndio wanaliwa kizembe sana tena sana, hakuna mwanamke anayejiheshimu na kujithamini mwili wake atahangaika na mambo haya ya halaiki kwenye gym nk.
NB: Labda kama anaenda na mume wake au mtu wake kidogo inaleta uafadhali
Hitimisho
Haina maana kila mwanamke anayejishugulisha na hayo mambo yuk hivyo nivile tu nikundi ambalo wanaume wengi hawalithamini kutokana na wingi wa tabia za hovyo zilizomo humo, zaidi ya yote asilimia chache sana wanakuwa poa japo nao utakutwa anaguswa guswa kisirisiri sana.
Hakuna raha kama mwanaume anayopata anapotembea na mwanamke wake mahali watu wanamuangalia na mwanaume ana uhakika kabisa huyu mama watoto wake ni salama kabisa na kuaminiwa, aisee inatia moyo sana na kujipa hadhi ya uanaume kwa asilimia nyingi.
Niishie hapo
Kwa mawazo na fikra zangu sijawahi amini kuna mke anaweza kuwa mwema au ukapata mke sahihi katika makundi haya
1. Wanaofanya Jogging
Yaani hapa aisee kama una mke anafanya huu udnunguazi wa makundi makundi jua hauko peke yako na hata ukipata mwanamke humu basi wakumaliza hamu zako tu ila hakuna malengo naye. Imani na hisia yangu haijawahi kabisa kukubaliana kama kunamwanamke anayekuwa anajielewa kwa kuheshimu utu wake akaingia jogging hamna kabisa kabisa kabisa, wala sitaki kuamini kabisaaa
NB:Isipokuwa anafanya jogging na mume wake tu wao binafsi au na mpenzi wake wao binafsi ila sio katika yale makundi makundi
2. Wanaoshabikia Mpira hadi wamejiunga vikundi vya kidedea na kila mechi wanaenda taifa
Yaani katika kundi hatari la wanawake ndio hawa shabiki wa mipira kindaki ndaki hadi wako kwenye vikundi vya kidedea na kila mechi lazima wazame uwanjani, yaaani hapana hapana tena hapana kwa herufi kubwa hata ingekuwaje hili jambo huyu mwanamke sina imani naye kabisa, wanaliwa kizembe sana na kuchezewa kizembe sana, mwanamke anayejiheshimu na kujali uutuwake sina imani anaweza kuwa katika kundi hili.
NB:Mwanamke anaweza akawa shabiki wa mpira kindaki ndaki ila uwanjani anaenda kwa mgongo wa mume wake au mtu wake na ushabiki wa mpira upo ndani kifamilia ila sio hadi kwenye videdea
3. Gym
Kuna hawa sasa wanaojifanya wanaenda gym kupunguza mwili nk yaani ndio wanaliwa kizembe sana tena sana, hakuna mwanamke anayejiheshimu na kujithamini mwili wake atahangaika na mambo haya ya halaiki kwenye gym nk.
NB: Labda kama anaenda na mume wake au mtu wake kidogo inaleta uafadhali
Hitimisho
Haina maana kila mwanamke anayejishugulisha na hayo mambo yuk hivyo nivile tu nikundi ambalo wanaume wengi hawalithamini kutokana na wingi wa tabia za hovyo zilizomo humo, zaidi ya yote asilimia chache sana wanakuwa poa japo nao utakutwa anaguswa guswa kisirisiri sana.
Hakuna raha kama mwanaume anayopata anapotembea na mwanamke wake mahali watu wanamuangalia na mwanaume ana uhakika kabisa huyu mama watoto wake ni salama kabisa na kuaminiwa, aisee inatia moyo sana na kujipa hadhi ya uanaume kwa asilimia nyingi.
Niishie hapo