Mkuu hii umeitoa wapi na ya lini?walioelewa tafadhali tusaidiane ivi hii 50000 ya ku apply bachelor ni unalipa mara moja tu au? na je kuomba chuo nafasi za kuomba ni Ngapi?
Leo hii.tembelea website za vyuoMkuu hii umeitoa wapi na ya lini?
Mbona unakuwa kichwa ngumu ww kelele zote zilizopigwa hujaelewaga tuwalioelewa tafadhali tusaidiane ivi hii 50000 ya ku apply bachelor ni unalipa mara moja tu au? na je kuomba chuo nafasi za kuomba ni Ngapi?
mm mwanzon nilisikia 30 elfu. je, hiyo taarifa ilikuwa ya kweli,???
wala usiwe na wasiwasi mpaka sasa udom ni 30Kmm mwanzon nilisikia 30 elfu. je, hiyo taarifa ilikuwa ya kweli,???
Sent using Jamii Forums mobile app