Sijawaelewa hawa TCU

kyutta

Member
Jun 11, 2016
34
25
Namba mnisaidie Hawa TCU si wanahisika na waliomaliza frm6, sasa Hicho kifungu cha 5.1 cha waliomaliza DIPLOMA awe na GPA 3.5 kinawahusu nini wao, wakati wanafunzi wameisha apply through NACTE tokea mwezi wa NNE na sifa ilikuwa MTU awe na GPA ya 2.8, Naomba msaada hapo mbona TCU na NACTE wanajochanganya? kama ni jipu NDALICHAKO WATUMBIE.
 

Attachments

  • 1468517170819.jpg
    1468517170819.jpg
    89.1 KB · Views: 29
  • 1468517181759.jpg
    1468517181759.jpg
    89.2 KB · Views: 26
  • 1468517196131.jpg
    1468517196131.jpg
    50.9 KB · Views: 28
Mkuu Amsha Akili, Tangazo La TCU la Wiki Hii Linasema Waombaji Wote Wa "UNDERGRADUATE" ni Lazima Waombe Kupitia TCU tu....!!

Na Ndio Mana NACTE wakasitisha Kutoa Matokeo Ya Udahili Kwasababu Hiyo Ya Kuchimbwa Mkwara na TCU kuwa Hakuna Taasisi yoyote Yenye Mamlaka Ya Kufanya Udahili wa First Digrii isipokua TCU.

Kwahiyo Kigenzo Cha Wale "DIPLOMA HOLDERS" ni Lazima Wawe na GPA ya Kuanzi 3.5 na Kuendelea.
Na TCU wamesema Wazi Kuwa Kigenzo Chochote Ambacha Sicho Kilichotolewa na TCU, basi Hakitatambulika.

Sasa hiyo GPA ya 2.8 ya NACTE ni Batili Kwa TCU na wala Haitambuliki usijisumbue.!!
Kwani Wenye Mamlaka ya Kudahili na Kutoa Sifa Za Udahili Kwa Wanavyuo Ni TCU pekee na Wala Si NACTE.

Mkuu Pitia Tangazo lao Kwa Umakini ili ufaidike Zaidi.
 
Mkuu Amsha Akili, Tangazo La TCU la Wiki Hii Linasema Waombaji Wote Wa "UNDERGRADUATE" ni Lazima Waombe Kupitia TCU tu....!!

Na Ndio Mana NACTE wakasitisha Kutoa Matokeo Ya Udahili Kwasababu Hiyo Ya Kuchimbwa Mkwara na TCU kuwa Hakuna Taasisi yoyote Yenye Mamlaka Ya Kufanya Udahili wa First Digrii isipokua TCU.

Kwahiyo Kigenzo Cha Wale "DIPLOMA HOLDERS" ni Lazima Wawe na GPA ya Kuanzi 3.5 na Kuendelea.
Na TCU wamesema Wazi Kuwa Kigenzo Chochote Ambacha Sicho Kilichotolewa na TCU, basi Hakitatambulika.

Sasa hiyo GPA ya 2.8 ya NACTE ni Batili Kwa TCU na wala Haitambuliki usijisumbue.!!
Kwani Wenye Mamlaka ya Kudahili na Kutoa Sifa Za Udahili Kwa Wanavyuo Ni TCU pekee na Wala Si NACTE.

Mkuu Pitia Tangazo lao Kwa Umakini ili ufaidike Zaidi.
WEWE TEACHER NINI UMEELEZEA GOOD SANA *****
 
Back
Top Bottom