Sijaulewa wimbo huu wa shishi baby

Fredinho

JF-Expert Member
May 18, 2016
969
1,137
Nimekuwa nikisikiliza kwa muda wimbo wa Say my name wa Shishi baby lakini sikuwa nikielewa kile kipande anachoimba Barnaba anaimba vitu gani,Leo nimefanikiwa kupata lyrics na bado nimeendelea kushangazwa!!!! Hivi Barnaba alimaanisha nini alipoimba 'Ni shimo la wengi,ye ndo shimo la wengi kuweka taka,kuweka takataka' Kama kuna mtu anakielewa kipande hiki anijuze kinamaanisha nini!
 

Attachments

  • Shilole ft Barnaba - Say My Name (Official Lyrics Music)[720P].MP4
    15.8 MB · Views: 33
Hivi huu wimbo huwa unashika hata top 20 katika chatiza muziki wa bongo???

Hata sielewi aliimba huo wimbo kuburudisha jamii au kujiburudisha yeye mwenyewe maana sijauelewa mwanzo mpaka mwisho .
 
Hivi huu wimbo huwa unashika hata top 20 katika chatiza muziki wa bongo???

Hata sielewi aliimba huo wimbo kuburudisha jamii au kujiburudisha yeye mwenyewe maana sijauelewa mwanzo mpaka mwisho .

Ulishashika hadi No 1 kwenye top ten east ya Sound city tv
 
Nimekuwa nikisikiliza kwa muda wimbo wa Say my name wa Shishi baby lakini sikuwa nikielewa kile kipande anachoimba Barnaba anaimba vitu gani,Leo nimefanikiwa kupata lyrics na bado nimeendelea kushangazwa!!!! Hivi Barnaba alimaanisha nini alipoimba 'Ni shimo la wengi,ye ndo shimo la wengi kuweka taka,kuweka takataka' Kama kuna mtu anakielewa kipande hiki anijuze kinamaanisha nini!
Hivi hata jina la wimbo la "say my name" huwa linatamkwa kwenye wimbo?
Huu wimbo ungeitw shimo
 
Nimekuwa nikisikiliza kwa muda wimbo wa Say my name wa Shishi baby lakini sikuwa nikielewa kile kipande anachoimba Barnaba anaimba vitu gani,Leo nimefanikiwa kupata lyrics na bado nimeendelea kushangazwa!!!! Hivi Barnaba alimaanisha nini alipoimba 'Ni shimo la wengi,ye ndo shimo la wengi kuweka taka,kuweka takataka' Kama kuna mtu anakielewa kipande hiki anijuze kinamaanisha nini!


Kwamba yeye ni Malaya na hafai.
 
Acheni kumchukulia poa ShishiTrump, Jlo mwenyewe anauelewa vizuri mziki wake...

"Shimo la wengi, la kuweka takataka" kwa neno moja linaitwa "Jalala". Kwahiyo unaweza kusema Shimo/Shilole na Takataka/Mabaya..
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom