Sijasikia viongozi, wabunge na watu maarufu wakitetea wananchi kuhusu vifurushi vipya

Maleven

JF-Expert Member
Sep 8, 2019
622
2,769
Au ndo haifai kuongea wakati wa kula? Au ndo wenzetu wanayumia wifi za office hawajapata taarifa? Nani wa kupaza sauti kueleza hali hii?

Kwanini mitandao mingi imekaidi?
 
Tz kila mtu ashinde mechi zake.
Huwa nashangaa sana kipindi cha kampeni watu ambao hawana manufaa binafsi na mgombea kwanini wanamshobokea.
Maana wagombea almost wote wanajali mambo yao tu
 
Back
Top Bottom