kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 5,984
- 6,645
Nakumbuka Obama aliwahi kuongea sentensi nzuri sana nanukuu isiyorasmi saana
"I am your Président, I Will listen to each and every American...but I Will listen very carefull when we differ in opinions!!
Sasa sisi tukitofautiana mawazo jitu linanuna na kutishia watu...eti mtu anamdomo Wa hovyo!!! Kawaida ukikosa kujiamini na usipojua kujenga hoja lazima ujae mahasira na hasira nidalili za ujinga mwingi.
Niulize...kunanchi watu hupingana Kama USA? Nilini umesikia Rais aking'akang'aka kwa wenyemawazo tofauti?? Tuache ushamba,tujifunze uongozi bila visirani na chuki!! Hapa suala si wenzetu wanademokrasia toka siku nyingi...ni suala la kutumia akili badala ya hasira,cheo nk
"I am your Président, I Will listen to each and every American...but I Will listen very carefull when we differ in opinions!!
Sasa sisi tukitofautiana mawazo jitu linanuna na kutishia watu...eti mtu anamdomo Wa hovyo!!! Kawaida ukikosa kujiamini na usipojua kujenga hoja lazima ujae mahasira na hasira nidalili za ujinga mwingi.
Niulize...kunanchi watu hupingana Kama USA? Nilini umesikia Rais aking'akang'aka kwa wenyemawazo tofauti?? Tuache ushamba,tujifunze uongozi bila visirani na chuki!! Hapa suala si wenzetu wanademokrasia toka siku nyingi...ni suala la kutumia akili badala ya hasira,cheo nk