sasa aliwezaje kuwaajiri askari walio asi?! inaonekana lengo la Mbowe ilikuwa ni kuwa na kundi kubwa zaidi la kijeshi kwa lengo baya zaidi, huyu jamaa alikuwa anataka kuichafua kabisa nchi yetu ndio maana tunasema mtandao wake uchunhuzwe kikamilifu.Hao wahamiaji haramu wangepitia wapi hadi kumfikia Mbowe na hatimaye kuwa Askari wake? (Ina maanisha kuna uzembe mkubwa kwenye idara ya uhamiaji)
Tumia akili za kawaida tu sio lazima uwe na PhD.
inawezekana hao walio kamatwa ni wachache...inaonekana wapo wengi walio rubuniwa na kujiingiza.