johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,763
Hivi kusambaza barua za ofisi kutoka Chadema kwenda taasisi nyingine kama vile Bunge NEC au kwa Msajili wa vyama vya siasa ni kazi ya Naibu katibu mkuu?
Chadema heshimuni vyeo vya Watendaji wenu
Chadema heshimuni vyeo vya Watendaji wenu