Twambie wew kazi ya naibu katibu ni ipiHivi kusambaza barua za ofisi kutoka Chadema kwenda taasisi nyingine kama vile Bunge NEC au kwa Msajili wa vyama vya siasa ni kazi ya Naibu katibu mkuu?
Chadema heshimuni vyeo vya Watendaji wenu
Ila haka kajamaa kanaijua siasa ya kidiplomasia sana japo mafisiem siyapendi lakin kidogo kajamaa nakakubaliView attachment 2224512
Chukua nukuu hiyo hapo MATAGA.
CCM bila polisi ni sawa na goli bila goalkeeper.
Wewe tambua tu ya kwamba kutokana na unyeti wa barua hiyo, ilimpasa aipeleke yeye mwenyewe. Si kila barua inapaswa kupelekwa kwa njia ambazo zimekaririka. Mathalani, huwezi kupeleka posa kwa njia ya utarishi.Hivi kusambaza barua za ofisi kutoka Chadema kwenda taasisi nyingine kama vile Bunge NEC au kwa Msajili wa vyama vya siasa ni kazi ya Naibu katibu mkuu?
Chadema heshimuni vyeo vya Watendaji wenu
Sasa mbona ile ya 2020 Mnyika alimtuma tarishi Mmawia aipeleke?These are highly classified docs to be delivered by juniors! Wewe mbonà kila siku akilibyako inakimbilia kwenye rectum?
Kulikuwa na thinking kuwa systems are working according to lay down procedure, kumbe loh! Jiwe alishakunya mavi uharo kwenye taratibu zoteSasa mbona ile ya 2020 Mnyika alimtuma tarishi Mmawia aipeleke?
Unakumbuka kuna barua moja kutoka tume ya uchaguzi au msajili wa vyama vya siasa kwenda ofisi za CHADEMA ilipelekwa na nani tena kwa pikipiki a.k.a bodaboda!?Hivi kusambaza barua za ofisi kutoka Chadema kwenda taasisi nyingine kama vile Bunge NEC au kwa Msajili wa vyama vya siasa ni kazi ya Naibu katibu mkuu?
Chadema heshimuni vyeo vya Watendaji wenu
Kila jambo linafanyika kulingana na wakati na uzito wake. Kwa uzito wa barua ya safari hii na wakati wenyewe, imebidi ipelekwe hivyo.Sasa mbona ile ya 2020 Mnyika alimtuma tarishi Mmawia aipeleke?
Katiba ya Chadema inasema Rufaa zitasikilizwa ndani ya siku 30Kila jambo linafanyika kulingana na wakati na uzito wake. Kwa uzito wa barua ya safari hii na wakati wenyewe, imebidi ipelekwe hivyo.
Mpira umerudishwa kwa Bunge na Serikali, tusubiri waucheze.
😁😁😁Mungu kaliuwa li nduli
Ungekuwa unajua thamani ya barua hizo usingeandika ujinga huu, unadhani ni sawa na zile unazotongozea mabaamedi.Hivi kusambaza barua za ofisi kutoka Chadema kwenda taasisi nyingine kama vile Bunge NEC au kwa Msajili wa vyama vya siasa ni kazi ya Naibu katibu mkuu?
Chadema heshimuni vyeo vya Watendaji wenu
Moderators, tusifanye JF iwe kijiwe cha clowns! Tunaomba thread za kama hizi mzifutilie mbali. Unajua mwanzisha thread ni clown fulani anayedhani watu wanafurahishwa na thread zake nyingi anazoanzisha wanavyojibizana naye hivyo anafanya kazi ya kuanzisha thread zisizo na maana kila saa. Paw YinYang do what you have to do, because clowns never knows theirs limitations if you give them too much freedomHivi kusambaza barua za ofisi kutoka Chadema kwenda taasisi nyingine kama vile Bunge NEC au kwa Msajili wa vyama vya siasa ni kazi ya Naibu katibu mkuu?
Chadema heshimuni vyeo vya Watendaji wenu
Unatesekea wapi?Moderators, tusifanye JF iwe kijiwe cha clowns! Tunaomba thread za kama hizi mzifutilie mbali. Unajua mwanzisha thread ni clown fulani anayedhani watu wanafurahishwa na thread zake nyingi anazoanzisha wanavyojibizana naye hivyo anafanya kazi ya kuanzisha thread zisizo na maana kila saa. Paw YinYang do what you have to do, because clowns never knows theirs limitations if you give them too much freedom