Sijapata majibu hadi sasa ,kwa nini serikali walimfukuza mkulima Steyn

ibesa mau

JF-Expert Member
Sep 17, 2015
2,109
1,692
Najiuliza sana ni nini lengo la serikali? Lilikuwa kumdhurumu haki haki zake au kumlindia Mali zake.
Katika hali ya kawaida unaweza ukakesha kujiuliza swali hili usipate majibu , kwa sababu tumezoea Mara zote KAZI ya serkali ni kulinda RAIA na Mali zake, sasa serikali inayodhoofisha raia wake kwa kuwafukuza ili haki zao zipotee sijawahi kuona.
Nilikuwa na mwanasheria mmoja Leo jioni akawa anasema, mawakili walio enda south wameenda kupoteza muda, kwa sababu hukumu ilishatolewa na serikali haikukata rufaa ,huyo mkulima alichokifanya ni kwenda south kukazia hukumu, na sio kufungua kesi.
Tujifunze kulipa madeni, hii kesi imetuonyesha ni kwa jinsi gani watanzania tulivyo, tusivyo penda kulipa madeni
 
Najiuliza sana ni nini lengo la serikali? Lilikuwa kumdhurumu haki haki zake au kumlindia Mali zake.
Mkuu 'Ibesa Mau', nashindwa kuelewa una maana gani katika mstari wako huu uliouandika hapa. Hivi wewe unauelewa vipi?
Itakuwaje "kumlindia mtu mali zake" kwa kumfukuza?

Hayo mengine uliyoyaandika huko chini nina hakika unayaelewa na hata mimi ninakubaliana nawe katika fikra hizo.

Kilichonichanganya na kunishangaza ni mstari huo wa kwanza katika mada yako. Sijui ulitaka kueleza nini!
 
Najiuliza sana ni nini lengo la serikali? Lilikuwa kumdhurumu haki haki zake au kumlindia Mali zake.
Katika hali ya kawaida unaweza ukakesha kujiuliza swali hili usipate majibu , kwa sababu tumezoea Mara zote KAZI ya serkali ni kulinda RAIA na Mali zake, sasa serikali inayodhoofisha raia wake kwa kuwafukuza ili haki zao zipotee sijawahi kuona.
Nilikuwa na mwanasheria mmoja Leo jioni akawa anasema, mawakili walio enda south wameenda kupoteza muda, kwa sababu hukumu ilishatolewa na serikali haikukata rufaa ,huyo mkulima alichokifanya ni kwenda south kukazia hukumu, na sio kufungua kesi.
Tujifunze kulipa madeni, hii kesi imetuonyesha ni kwa jinsi gani watanzania tulivyo, tusivyo penda kulipa madeni
Huyo mwanasheria ni zao la chuo gani? Kama ni zao la UDSM basi ni sawa kumuita kihiyo. Hilo sijasema mimi wanasema wenyewe waliomaliza hapo. Kama walimu wao ni hawahawa kina Kabudi na Mwakyembe waliopwaya (kufuatana na wanafunzi wao) basi bora ujinyamazie
 
Ilianza kwenye case ya samaki, tukaishia kupata hasara ya kuwalipa wizi wetu fidia kibao. Tukajua labda atajifunza kwa makosa.

Ikaja ya makinikia, tukakurupuka tena ikala kwetu. Tukajua mara hii ya pili lazima tutajifunza tu.

Ikaja ya kuzuiwa ndege yetu canada, tukawa hatutazamani usoni kwa fedheha.

Tukawatukana sana watu wanaotoa hela zao mfukoni na kutusaidia, kwa kuwaita mabeberu, wanyonyaji na mafisadi. Sambamba na kuwasweka ndani wanaowatetea na kuwapa kesi zisizo na kichwa wala miguu.

Sasa hii ya kumfukuza MKULIMA uraia ili tusande kulipa deni analotudai. Hata mungu hatopokea dua zetu!!! Tuache upumbavu na tusitetee dhuluma ya wanyonge.. .. .. ..
 
Ilianza kwenye case ya samaki, tukaishia kupata hasara ya kuwalipa wizi wetu fidia kibao. Tukajua labda atajifunza kwa makosa.

Ikaja ya makinikia, tukakurupuka tena ikala kwetu. Tukajua mara hii ya pili lazima tutajifunza tu.

Ikaja ya kuzuiwa ndege yetu canada, tukawa hatutazamani usoni kwa fedheha.

Tukawatukana sana watu wanaotoa hela zao mfukoni na kutusaidia, kwa kuwaita mabeberu, wanyonyaji na mafisadi. Sambamba na kuwasweka ndani wanaowatetea na kuwapa kesi zisizo na kichwa wala miguu.

Sasa hii ya kumfukuza MKULIMA uraia ili tusande kulipa deni analotudai. Hata mungu hatopokea dua zetu!!! Tuache upumbavu na tusitetee dhuluma ya wanyonge.. .. .. ..

Umesahau kuvunja mkataba wa ujenzi wa barabara Tegeta -Mwenge
 
Boss ibesa mau Swali lako ni zuri, hata na mimi ningependa kujua kwanini???
Labda tujiulize huyu Mzungu alipataje Mali zote hizo??? !!! Ardhi hekari 200,000, Ndege, Mifugo na mengineyo???
Kwa maana nyingine huyu Mzungu pekee, alikuwa na Mali na Pesa kushinda Serikali aka Jamhuri??? !!! (Kwa wakati huo???!!!)
Mfumo wa Mwalimu alioutumia wa Ujamaa na Kujitegemea nafikiri ndio uliruhusu, kutaifisha mali nyingi.
Ngojea nisome Wajuzi wanasema nini ??? !!!


Najiuliza sana ni nini lengo la serikali? Lilikuwa kumdhurumu haki haki zake au kumlindia Mali zake.
Katika hali ya kawaida unaweza ukakesha kujiuliza swali hili usipate majibu , kwa sababu tumezoea Mara zote KAZI ya serkali ni kulinda RAIA na Mali zake, sasa serikali inayodhoofisha raia wake kwa kuwafukuza ili haki zao zipotee sijawahi kuona.
Nilikuwa na mwanasheria mmoja Leo jioni akawa anasema, mawakili walio enda south wameenda kupoteza muda, kwa sababu hukumu ilishatolewa na serikali haikukata rufaa ,huyo mkulima alichokifanya ni kwenda south kukazia hukumu, na sio kufungua kesi.
Tujifunze kulipa madeni, hii kesi imetuonyesha ni kwa jinsi gani watanzania tulivyo, tusivyo penda kulipa madeni
 
Ilianza kwenye case ya samaki, tukaishia kupata hasara ya kuwalipa wizi wetu fidia kibao. Tukajua labda atajifunza kwa makosa.

Ikaja ya makinikia, tukakurupuka tena ikala kwetu. Tukajua mara hii ya pili lazima tutajifunza tu.

Ikaja ya kuzuiwa ndege yetu canada, tukawa hatutazamani usoni kwa fedheha.

Tukawatukana sana watu wanaotoa hela zao mfukoni na kutusaidia, kwa kuwaita mabeberu, wanyonyaji na mafisadi. Sambamba na kuwasweka ndani wanaowatetea na kuwapa kesi zisizo na kichwa wala miguu.

Sasa hii ya kumfukuza MKULIMA uraia ili tusande kulipa deni analotudai. Hata mungu hatopokea dua zetu!!! Tuache upumbavu na tusitetee dhuluma ya wanyonge.. .. .. ..

Mnajitahidi sana kusema yasiyokuwepo.

Pole sana
 
Mnajitahidi sana kusema yasiyokuwepo.

Pole sana
Acha kuziba masikio na kufunika macho kwa kutumia neti ya mmbu ili kutafuta sifa ukijifanya huoni kumbe unaona.Kujifanya husikii kumbe unasikia.Hata wasiokuwa Watanzania yaliyotajwa hapo wanayajua na kuyafahamu vizuri kuwa ni ya kweli wewe ukijidanganya eti sio ya kweli.Hayo ni baadhi tu ukiendelea tutaongeza na mengine mengi.

Nyie ndio mnasemaga Mbunge (MP) hakupigwa risasi.
 
Acha kuziba masikio na kufunika macho kwa kutumia neti ya mmbu ili kutafuta sifa ukijifanya huoni kumbe unaona.Kujifanya husikii kumbe unasikia.Hata wasiokuwa Watanzania yaliyotajwa hapo wanayajua na kuyafahamu vizuri kuwa ni ya kweli wewe ukijidanganya eti sio ya kweli.Hayo ni baadhi tu ukiendelea tutaongeza na mengine mengi.

Nyie ndio mnasemaga Mbunge (MP) hakupigwa risasi.

Anaficha macho kwa noti mbili za buku mbili huku noti mbili nyingine za buku akiwa amezisokota na kuziweka masikioni mwake na buku lililobaki akiwa amelipa deni la nusu kilo ya unga kwa mangi dukani
 
Najiuliza sana ni nini lengo la serikali? Lilikuwa kumdhurumu haki haki zake au kumlindia Mali zake.
Katika hali ya kawaida unaweza ukakesha kujiuliza swali hili usipate majibu , kwa sababu tumezoea Mara zote KAZI ya serkali ni kulinda RAIA na Mali zake, sasa serikali inayodhoofisha raia wake kwa kuwafukuza ili haki zao zipotee sijawahi kuona.
Nilikuwa na mwanasheria mmoja Leo jioni akawa anasema, mawakili walio enda south wameenda kupoteza muda, kwa sababu hukumu ilishatolewa na serikali haikukata rufaa ,huyo mkulima alichokifanya ni kwenda south kukazia hukumu, na sio kufungua kesi.
Tujifunze kulipa madeni, hii kesi imetuonyesha ni kwa jinsi gani watanzania tulivyo, tusivyo penda kulipa madeni
Kwani wa sio mtanzania?? Si ukalipe hilo deni?? Yan unaongea kama vile mtu usiefikiria sijui kama kinn vile...eti ohh nilikaa na wakili sijui taka taka gani sasa kama ulikaa na wakili ukitueleza sisi ina tusaidia nn?? Mxxxx
 
Jiulize kwa nini Manji alipewa msukosuko? Kulikuwa na nini chini ya kapeti? Mo Dewji? CEO wa Vodacom? Migodi? Peter Zacharia na mkewe? wafanyabiashara 200 wanaosemwa na Lissu? mdogo wake Rostam? listi ni ndefu ikiwamo migodi, inawezekana mkulina huyu alitonywa mapema akasepa,
 
Najiuliza sana ni nini lengo la serikali? Lilikuwa kumdhurumu haki haki zake au kumlindia Mali zake.
Katika hali ya kawaida unaweza ukakesha kujiuliza swali hili usipate majibu , kwa sababu tumezoea Mara zote KAZI ya serkali ni kulinda RAIA na Mali zake, sasa serikali inayodhoofisha raia wake kwa kuwafukuza ili haki zao zipotee sijawahi kuona.
Nilikuwa na mwanasheria mmoja Leo jioni akawa anasema, mawakili walio enda south wameenda kupoteza muda, kwa sababu hukumu ilishatolewa na serikali haikukata rufaa ,huyo mkulima alichokifanya ni kwenda south kukazia hukumu, na sio kufungua kesi.
Tujifunze kulipa madeni, hii kesi imetuonyesha ni kwa jinsi gani watanzania tulivyo, tusivyo penda kulipa madeni


!
!
Vipi Albert Msando Nae Kaenda Au Kateuliwa Kitengo Cha Kuchangisha Ili Tukalipe Deni?
 
CCM hawajawahi kuwa na akili timamu. ... reference ni matendo yao na mikataba mibovu wanayo Ingia na wawekezaji
 
Najiuliza sana ni nini lengo la serikali? Lilikuwa kumdhurumu haki haki zake au kumlindia Mali zake.
Katika hali ya kawaida unaweza ukakesha kujiuliza swali hili usipate majibu , kwa sababu tumezoea Mara zote KAZI ya serkali ni kulinda RAIA na Mali zake, sasa serikali inayodhoofisha raia wake kwa kuwafukuza ili haki zao zipotee sijawahi kuona.
Nilikuwa na mwanasheria mmoja Leo jioni akawa anasema, mawakili walio enda south wameenda kupoteza muda, kwa sababu hukumu ilishatolewa na serikali haikukata rufaa ,huyo mkulima alichokifanya ni kwenda south kukazia hukumu, na sio kufungua kesi.
Tujifunze kulipa madeni, hii kesi imetuonyesha ni kwa jinsi gani watanzania tulivyo, tusivyo penda kulipa madeni
Ulikuwa ni wivu tu wa mwalimu nyerere
 
Huyo mwanasheria ni zao la chuo gani? Kama ni zao la UDSM basi ni sawa kumuita kihiyo. Hilo sijasema mimi wanasema wenyewe waliomaliza hapo. Kama walimu wao ni hawahawa kina Kabudi na Mwakyembe waliopwaya (kufuatana na wanafunzi wao) basi bora ujinyamazie
Hivi hawa wanasheria wengine kama akina kibatala, Lissu nk walisoma wapi?
 
Mwenye Nyumba Yake Anaamua Atakalo Tu
Sababu Huwa Siyo Muhimu Sana
 
Back
Top Bottom