Sijapata kuona chama hovyo kama CHADEMA

assadsyria3

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
6,904
4,050
ASHAKUM SI MATUSI CJAPATA ONA CHAMA HOVYO KAMA HIKI.
UKIIANGALIA CUF AMA NCCR ni vyama upinzani makini

1. Hawalalamiki ovyo
2. Wanafahamu sheria za uchaguzi
3. Hawana press release za kila dakika
4. Havipendi fujo wala maandamano yasio na tija
5. Kuitambua serikli iliopo na kufanya nao kazi
6. Uwepo wa demokrasia ndani ya vyama
7. Matumizi mazuri ya ruzuku
8. Viongozi wake ni wasomi na wenye vision

Kwa uchache ukiwaangalia CHADEMA UTAONA NI CHA HOVYO KABISA.
 
Hizo ulizotaja hapo juu ni dalili za chama kuanza kujifahamu zaidi, kukua na kukomaa. Kama ni chama hovyo, chama "makini" cha sisiemu kisingekuwa na presha kila kikisikia chadema.
 
chama konaweka wagombea hawajui kusoma
chama kina wagombea hawsajui kujaza fomu za uchaguz
viongozi hawajui masharti na sheria za uchaguzi
kuchukua matapishi ya ccm na kuyala badala ya kujiandalia viongozi wake
kisha unawekea pingamizi halafu unamwandikia barua pm huku unalia
chama hovyo sn
 
Chadema ni genge la wahuni pale hakuna kiongozi hata mmoja ni genge fulani la watu walioanzisha mfumo wa maisha yao kwa mgongo wa siasa.
 
ASHAKUM SI MATUSI CJAPATA ONA CHAMA HOVYO KAMA HIKI.
UKIIANGALIA CUF AMA NCCR ni vyama upinzani makini
1 hawalalamiki ovyo
2 wanafahamu sheria za uchaguzi
3 hawana press release za kila dakika
4 havipendi fujo wala maandamano yasio na tija
5 kuitambua serikli iliopo na kufanya nao kazi
6 uwepo wa demokrasia ndani ya vyama
7 matumizi mazuri ya ruzuku
8 viongozi wake ni wasomi na wenye vision
kwa uchache ukiwaangalia CHADEMA
UTAONA NI CHA HOVYO KABISA.
Chadea ni chama la ovyo kabisa halina hata usajili
 
Chadema ni chama makini na wanajua nini wanafanya,, ccm mjipange kukabizi madaraka
 
ASHAKUM SI MATUSI CJAPATA ONA CHAMA HOVYO KAMA HIKI.
UKIIANGALIA CUF AMA NCCR ni vyama upinzani makini
1 hawalalamiki ovyo
2 wanafahamu sheria za uchaguzi
3 hawana press release za kila dakika
4 havipendi fujo wala maandamano yasio na tija
5 kuitambua serikli iliopo na kufanya nao kazi
6 uwepo wa demokrasia ndani ya vyama
7 matumizi mazuri ya ruzuku
8 viongozi wake ni wasomi na wenye vision
kwa uchache ukiwaangalia CHADEMA
UTAONA NI CHA HOVYO KABISA.
Mkuu assadsyria3 Mimi sipo chama chochote kile hapo nyumbani mimi ni M-Tanzania halisi ila nina kukosoa kidogo cha cha upinzani kukikosowa

chama kinacho tawala ndio Demokrasia yenyewe hiyo. Pasipo na kuwa na chama cha upinzani kukikosoa chama kinacho tawala hakutakuwa na Maendeleo katika nchi yetu. Kwa mfano Amerika kuna vyama viwili vikubwa Chama cha Rais Obama Chama cha Democratic Party, na chama

cha Upinzani chama cha Republican Party. Sasa kukiwa na kasoro kwenye chama tawala cha Rais Obama akikosea kitu anaye mkosoa ni chama cha Upinzani yaani chama cha Republican Party. Hiyo ndio Demokrasia ya ukweli na Maendeleo yanapatikana hapo pasipo na kukosoana kwa vyama hakuna maendeleo mkuu ninakuacha hapa kwa leo.

 
Mkuu assadsyria3 Mimi sipo chama chochote kile hapo nyumbani mimi ni M-Tanzania halisi ila nina kukosoa kidogo cha cha upinzani kukikosowa

chama kinacho tawala ndio Demokrasia yenyewe hiyo. Pasipo na kuwa na chama cha upinzani kukikosoa chama kinacho tawala hakutakuwa na Maendeleo katika nchi yetu. Kwa mfano Amerika kuna vyama viwili vikubwa Chama cha Rais Obama Chama cha Democratic Party, na chama

cha Upinzani chama cha Republican Party. Sasa kukiwa na kasoro kwenye chama tawala cha Rais Obama akikosea kitu anaye mkosoa ni chama cha Upinzani yaani chama cha Republican Party. Hiyo ndio Demokrasia ya ukweli na Maendeleo yanapatikana hapo pasipo na kukosoana kwa vyama hakuna maendeleo mkuu ninakuacha hapa kwa leo.


hujaelewa uzi wangu
 
Sijapata kuona chama kinachonuka rushwa kama CCM. Mpaka Ikulu yote inanuka rushwa.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/508612-dr-limbu-ikulu-inanuka-rushwa-balaa.html

mkuu chama chako CAG ALIKIPA HATI YENYE UTATA
WATU WANAKOPESHA CHAMA KISHA RUZUKU INAHAMIA KWENYE ACCOUNT ZAO KWAN TASISI ZA FEDHA SI ZIPO
WATU WAMEJIKOOESHA MIL160 ZA RUZUKU WAKATI BENKI ZIPO
WATU WANAMAJUMBA SOUTH AFRICA DUBAI BILA HELA HILO NOT POSSIBLE
WEWE HUONI HUO NI UFISADI UNABWATA TU KAMA............
 
Back
Top Bottom