Prisonerx
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 681
- 1,782
Niende moja kwa moja kwa mada.
Inasikitisha na ni fedheha kwa taasisi kubwa ambayo iko chini ya ofisi ya Raisi kuwaongopea/ kuwahadaa watanzania katika kutenda haki katika kutoa ajira kwa Watoto wa maskini pasipo kuwa na ukiritimba wa namna yoyote.
Leo nilikuwa nikipitia tovoti ya Sekretarieti ya ajira nikakutana na Tangazo la waliofanikiwa kuitwa kazini kupitia kanzi data leo tarehe 25/01/2021 tangazo hili lina kumb. Na. EA. 7/96/01/K/22 na katika kupitia baadhi ya majina nikagundua kuna baadhi ya majina yameitwa tena ilihali watu hao wapo makazini tayari.
Nikafanya kutafuta tangazo la kazi la nyuma kidogo kwa walioitwa makazini tarehe 09/11/2020 likiwa na kumb. Na. EA. 7/96/01/K/317 nikapata kupitia kujiridhisha kama ni kweli hayo majina yapo nikakuta ndio yenyewe.
Ukipitia majina hayo katika " Pdf " nilizoambatanisha hapa chini utagundua ya kwamba tangazo la kazi lililotoka tarehe 09/11/2020 katika kurasa ya 29 - 31 utagundua wameyachukua majina hayo yaani wamefanya "Cut and paste" na kuja kuyabandika katika tangazo lililotoka leo tarehe 25/01/2021 na kuyaweka katika kurasa ya 8 - 11.
Kada zilizohusishwa ni kama zifuatavyo;
1. Shirika la ndege la Tanzania (ATCL)
2. Hospitali ya rufaa ya bugando (BMC)
3. Bohari la dawa (MSD)
4. Tume ya taifa ya umwagiliaji ( NIRC)
5. Chuo kikuu dodoma (UDOM)
6. Hospitali ya kikristo moshi (KCMC)
7. Taasisi ya elimu ya watu wazima (IAE)
8. Ofisi ya mkuu wa mkoa Katavi
Hili linaleta picha gani kwa taasisi hii;
1. Je? Wamekuwa wakiwaadaa watanzania kwamba wanatoa ajira ilihali ni uwongo maana kwa majina yaliyotoka leo katika kanzidata ni 75 ila kwa majina hayo yaliyo rudiwa ukihesabu ni watu 35 hili linatoa tafasiri ya kwamba watu halisi walioitwa kutoka katika ni 40 pekee ila hao 35 wengine ni kuitangaza awamu ya tano kuwa inaajiri ilihali ni uwongo.
2. Je? Nafasi hizo nafasi 35 ambazo zimerudiwa majina ni kwamba zitazibwa kwa kutumia majina mengine ambayo hawataki kuyaweka wazi? Hii inatoa tafasiri /inamaanisha kuna upendeleo ama harufu ya rushwa katika taasisi hii katika ugawaji wa nafasi.
Inasikitisha na ni fedheha kwa taasisi kubwa ambayo iko chini ya ofisi ya Raisi kuwaongopea/ kuwahadaa watanzania katika kutenda haki katika kutoa ajira kwa Watoto wa maskini pasipo kuwa na ukiritimba wa namna yoyote.
Leo nilikuwa nikipitia tovoti ya Sekretarieti ya ajira nikakutana na Tangazo la waliofanikiwa kuitwa kazini kupitia kanzi data leo tarehe 25/01/2021 tangazo hili lina kumb. Na. EA. 7/96/01/K/22 na katika kupitia baadhi ya majina nikagundua kuna baadhi ya majina yameitwa tena ilihali watu hao wapo makazini tayari.
Nikafanya kutafuta tangazo la kazi la nyuma kidogo kwa walioitwa makazini tarehe 09/11/2020 likiwa na kumb. Na. EA. 7/96/01/K/317 nikapata kupitia kujiridhisha kama ni kweli hayo majina yapo nikakuta ndio yenyewe.
Ukipitia majina hayo katika " Pdf " nilizoambatanisha hapa chini utagundua ya kwamba tangazo la kazi lililotoka tarehe 09/11/2020 katika kurasa ya 29 - 31 utagundua wameyachukua majina hayo yaani wamefanya "Cut and paste" na kuja kuyabandika katika tangazo lililotoka leo tarehe 25/01/2021 na kuyaweka katika kurasa ya 8 - 11.
Kada zilizohusishwa ni kama zifuatavyo;
1. Shirika la ndege la Tanzania (ATCL)
2. Hospitali ya rufaa ya bugando (BMC)
3. Bohari la dawa (MSD)
4. Tume ya taifa ya umwagiliaji ( NIRC)
5. Chuo kikuu dodoma (UDOM)
6. Hospitali ya kikristo moshi (KCMC)
7. Taasisi ya elimu ya watu wazima (IAE)
8. Ofisi ya mkuu wa mkoa Katavi
Hili linaleta picha gani kwa taasisi hii;
1. Je? Wamekuwa wakiwaadaa watanzania kwamba wanatoa ajira ilihali ni uwongo maana kwa majina yaliyotoka leo katika kanzidata ni 75 ila kwa majina hayo yaliyo rudiwa ukihesabu ni watu 35 hili linatoa tafasiri ya kwamba watu halisi walioitwa kutoka katika ni 40 pekee ila hao 35 wengine ni kuitangaza awamu ya tano kuwa inaajiri ilihali ni uwongo.
2. Je? Nafasi hizo nafasi 35 ambazo zimerudiwa majina ni kwamba zitazibwa kwa kutumia majina mengine ambayo hawataki kuyaweka wazi? Hii inatoa tafasiri /inamaanisha kuna upendeleo ama harufu ya rushwa katika taasisi hii katika ugawaji wa nafasi.